Menu

KINGA YA MUISLAMU


 MSAFIRI1


Imepokelewa kutoka kwa Ibn Omar radhi za Allah ziwe juu yake  kwamba Mtume alikuwa akirudi vitani au kutoka Hijjah katika kila akipanda mlima akisema:

 

[ اللهُ أَكْـبَر، اللهُ أَكْـبَر، اللهُ أَكْـبَر ]

 

[Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Mwenyezi Mungu ni Mkubwa, Mwenyezi Mungu ni Mkubwa]

Kisha akisema:

 

لا إله إلا الله وحده لا شريك لهُ ،لهُ الملك ، ولهُ الحمدُ وهو على كل شيءٍ قدير ، آيبون ،تائبون ، عابدون ، لربنا حامدون ،صدق الله وعده،ونصر عبده،وهزم الأحزاب وحده

[Hapana mola apasae kuabudiwa kwa haki ila Mwenyezi Mungu, hali ya kuwa peke yake, wala hana mshirika.  Ufalme ni wake, na sifa njema ni zake, na Yeye juu ya kila kitu ni mueza, tunarudi hali ya kuwa tunatubia, tunaabudu, na Mola wetu tunamsifu, amesadikisha Mwenyezi Mungu  ahadi yake, na amemnusuru mja wake, na amevishinda vikosi peke yake.]       [Imepokewa na Bukhari na Muslim.]


DUA YA MSAFIRI AKIRUDI KUTOKA SAFARINI


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669213
TodayToday878
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 222

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19b9d8155b19764925191777441693
title_69f19b9d815ac10509442931777441693
title_69f19b9d815f920391601721777441693

NISHATI ZA OFISI

title_69f19b9d81bc712747694931777441693
title_69f19b9d81c145041689581777441693
title_69f19b9d81c5f2411581461777441693 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com