Menu

KINGA YA MUISLAMU


 mtoto maiti


 

[اللهم أعذه من عذاب القبر]

أخرجه مالك في الموطأ 1/288 وابن أبي شيبه في المصنف 3/ 217 والبيهقي 4/9

 

[Ewe Mwenyezi Mungu  mlinde na adhabu ya kaburi]        [Imepokewa na Imam Maalik na Ibnu Abiy Shayba na Al-Bayhaqiy.]

 

اللهم اجعله فرطاً وذخراً لوالديه ،وشفيعاً مجاباً .اللهم ثقل به موازينها وأعظم به أجورهما ، وألحقهُ بصالح المؤمنين ، واجعلهُ في كفالة إبراهيم ، وقه برحمتك عذاب الجحيم ، وأبدله داراً خيراً من داره ، وأهلاً خيراً من أهله ، اللهم اغفر لاسلافنا ، وأفراطنا ، ومن سبقنا بالإيمان

[Ewe Mwenyezi Mungu mjaaliye kuwa nikitangulizi na akiba kwa wazazi wake na nikiombezi chenye  kukubaliwa dua yake.  Ewe Mwenyezi Mungu kwa ajili yake zifanye nzito mizani za wazazi wake na yafanye mengi malipo yao, na mkutanishe na wema wa waumini na mjaaliye awekatika dhamana ya Ibrahim na umuepushe kwa rehema yako na adhabu ya moto, na mbadlishie nyumba bora kuliko nyumba yake, na jamaa bora kulko jamaa zake.  Ewe Mwenyezi Mungu, wasamehe waliotangulia na waliopita na waliotutangulia katika Uislamu.]

Alikuwa Al-Hassan Radhi za Allah ziwe juu yake  anamsomea mtoto mdogo Suratul Fatiha kisha anasema:

 

اللهم اجعله لنا فرطاً ،وسلفاً وأجراً

 

[Ewe Mwenyezi Mungu mfanye kwetu sisi ni kitangulizi  cha malipo na dhamana na  malipo.]    [Imepokewa na Al-Baghawiy na Abdulrazaaq.]


DUA YA MAITI YA MTOTO MCHANGA WAKATI WA KUMSWALIA


   


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669233
TodayToday898
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 207

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19c3ca0bc37994988111777441852
title_69f19c3ca0c13934642791777441852
title_69f19c3ca0c5f7861514811777441852

NISHATI ZA OFISI

title_69f19c3ca12af13408249531777441852
title_69f19c3ca130011834526041777441852
title_69f19c3ca134b7756495971777441852 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com