Menu

KINGA YA MUISLAMU


 mtoto maiti


 

[اللهم أعذه من عذاب القبر]

أخرجه مالك في الموطأ 1/288 وابن أبي شيبه في المصنف 3/ 217 والبيهقي 4/9

 

[Ewe Mwenyezi Mungu  mlinde na adhabu ya kaburi]        [Imepokewa na Imam Maalik na Ibnu Abiy Shayba na Al-Bayhaqiy.]

 

اللهم اجعله فرطاً وذخراً لوالديه ،وشفيعاً مجاباً .اللهم ثقل به موازينها وأعظم به أجورهما ، وألحقهُ بصالح المؤمنين ، واجعلهُ في كفالة إبراهيم ، وقه برحمتك عذاب الجحيم ، وأبدله داراً خيراً من داره ، وأهلاً خيراً من أهله ، اللهم اغفر لاسلافنا ، وأفراطنا ، ومن سبقنا بالإيمان

[Ewe Mwenyezi Mungu mjaaliye kuwa nikitangulizi na akiba kwa wazazi wake na nikiombezi chenye  kukubaliwa dua yake.  Ewe Mwenyezi Mungu kwa ajili yake zifanye nzito mizani za wazazi wake na yafanye mengi malipo yao, na mkutanishe na wema wa waumini na mjaaliye awekatika dhamana ya Ibrahim na umuepushe kwa rehema yako na adhabu ya moto, na mbadlishie nyumba bora kuliko nyumba yake, na jamaa bora kulko jamaa zake.  Ewe Mwenyezi Mungu, wasamehe waliotangulia na waliopita na waliotutangulia katika Uislamu.]

Alikuwa Al-Hassan Radhi za Allah ziwe juu yake  anamsomea mtoto mdogo Suratul Fatiha kisha anasema:

 

اللهم اجعله لنا فرطاً ،وسلفاً وأجراً

 

[Ewe Mwenyezi Mungu mfanye kwetu sisi ni kitangulizi  cha malipo na dhamana na  malipo.]    [Imepokewa na Al-Baghawiy na Abdulrazaaq.]


DUA YA MAITI YA MTOTO MCHANGA WAKATI WA KUMSWALIA


   


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031849
TodayToday932
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 93

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d932061a1917519867041787663136
title_6a8d932061a6914541231311787663136
title_6a8d932061ab82380243831787663136

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d93206208015233271741787663136
title_6a8d9320620d016063668231787663136
title_6a8d93206211d13388523671787663136 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com