Menu

KINGA YA MUISLAMU


 dua ya swala ya maiti


اللهم اغفر له وارحمه، وعافه ،واعف عنه ،وأكرم نُزُله ، ووسع مُدخلهُ ، واغسله بالماء والثلج والبرد ، ونقه من الخطايا كما ينقى الثوب الأبيض من الدنس ، وأبدله داراً خيراً من داره ، وأهلاً خيراً من أهله وزوجاً خيراً من زوجه، وأدخله الجنة ،وأعذه من عذاب القبر ( ومن عذاب النار

مسلم 2/663

[Ewe Mwenyezi Mungu msamehe na umrehemu na umuafu na msamehe na mtukuze kushuka kwake (kaburini) na upanue kuingia kwake, na muoshe na maji na kwa theluji na barafu na mtakase na makosa kama unavyoitakasa  nguo nyeupe kutokana na uchafu, na mbadilishie nyumba bora kuliko nyumba  yake na jamaa bora kuliko jamaa zake, na mke bora kuliko mke wake, na muingize peponi na mkinge na adhabu ya kaburi (na adhabu ya moto).]        [Imepokewa na Muslim.]

 

اللهم اغفر لحينا وميتنا ، وشاهدنا وغائبنا ، وصغيرنا وكبيرنا ، وذكرنا وأُنثانا ، اللهم من أحييته منا فأحيه على الإسلام ، ومن توفيته منا فتوفه على الإيمان اللهم لا تحرمنا أجره ولا تضلنا بعده

ابن ماجه 1/480 وأحمد 2/368

[Ewe Mwenyezi Mungu, msamehe aliyehai katika sisi na aliyekufa, na aliyopo na asiyekuwepo, na mdogo kati yetu na mkubwa, na mwanamume kati yetu na mwanamke.  Ewe Mwenyezi Mungu  unaemueka hai kati yetu basi mweke katika Uislamu, na uliyemfisha basi mfishe juu ya iman.  Ewe Mwenyezi Mungu  usitunyime thawabu zake  wala usitupoteze baada yake.]      [Imepokewa na Ibnu Maajah na Ahmad.]

 

 اللهم إن فلان بن فلان في ذمتك،وحبل جوارك،فقه من فتنة القبر وعذاب النار،وأنت أهل الوفاء والحق .فاغفر له وارحمهُ إنك أنت الغفور الرحيم

أخرجه ابن ماجه 

[Ewe Mwenyezi Mungu  hakika (fulani bin fulani)  yuko katika dhima yako na kamba ya ujirani wako, basi mkinge  na fitina  ya kaburi na dhabu ya moto nawe ndiwe mstahiki wa utekelezaji na ukweli, basi msamehe na umrehemu hakika Wewe ni mwingi wa kusamehe, mwingi wa kurehemu.]    [Imepokea na Ibnu Maajah.]

 

اللهم عبدك وابن عبدك وابن أمتك احتاج إلى رحمتك ،وأنت غني عن عذابه،إن كان مُحسناً فزده في حسناته، وإن كان مُسيئاً فتجاوز عنه

 أخرجه الحاكم وصححه ووافقه الذهبي

 

[Ewe Mwenyezi Mungu, mja wako na mtoto wa kijakazi chako, nimuhitaji wa rehema yako, nawe huhitaji na kumuadhibu, kwa hivyo akiwa ni mwema mzidishie katika mema yake na akiwa ni muovu msamehe madhambi yake.]       [Imepokewa na Al-Haakim na akasahihisha na kuafikiwa na Al-Dhahabiy.]


DUA YA KUMUOMBEA MAITI WAKATI ANAPOSWALIWA


 


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6669012
TodayToday149
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 14

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68676db09556320312161421751608752
title_68676db09563918263580591751608752
title_68676db0957051278370341751608752

NISHATI ZA OFISI

title_68676db096a361117062361751608752
title_68676db096b058703328001751608752
title_68676db096bca1936938801751608752 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com