Menu

KINGA YA MUISLAMU


 adui


 

[ اللهم إنا نجعلك في نحورهم ونعوذ بك من شرورهم ]

أبو داود 2/89 وصححه الحاكم ووافقه الذهبي 2/142

[Ewe Mwenyezi Mungu  hakika sisi tunakufanya Wewe uwe katika vifua  vyao na tunajikinga kwako na shari zao.]     [Imepokewa na Abuu Daud na Kusahihishwa na Al-Haakim]

 

[ اللهم أنت عضدي وأنت نصيري ،بك أجول ،وبك أصول ، وبك أُقاتل ]

 أبو داود 3/42 والترمذي 5/572

[Ewe Mwenyezi Mungu  Wewe ndie msaidizi wangu nawe ndie mnusura wangu, kwako ninazunguka na kwako ninavamia na kwako ninapigana.]       [Imepokewa na Abuu Daud na Al-Ttirmidhiy.]

 

[ حسبنا الله ونعم الوكيل ]

 البخاري 5/172

[Mwenyezi Mungu anatutosheleza, naye ni mbora wa kutegemewa.]        [Imepokewa na Bukhari.]


DUA YA ANAEKUTANA NA ADUI AU MWENYE KUTAWALA


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887299
TodayToday432
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 45

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bbfbdc2af312200957561782300605
title_6a3bbfbdc2b4014392593401782300605
title_6a3bbfbdc2b8a17794969671782300605

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bbfbdc30cc9110717421782300605
title_6a3bbfbdc311814464150291782300605
title_6a3bbfbdc316217858950121782300605 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com