Menu

KINGA YA MUISLAMU


 sijda ya kisomo


 

[{سجد وجهي للذي خلقه ، وشق سمعه وبصره بحوله وقوته  {فتبارك الله أحسن الخالقين] 

 الترمذي 2/474 وأحمد 6/30 والحاكم وصححه ووافقه الذهبي 1/ 220 والزيادة له 

 

[Umesujudu uso wangu kumsujudia  yule ambae ameuumba  na akapasuwa masikio yake, na macho yake, kwa uwezo wake na nguvu zake, (Ametukuka Mwenyezi Mungu  mbora wa waumbaji)]        [Imepokewa na Al-Tirmidhiy na Ahmad na Hakim na kuisahihisha]


[اللهم أكتب لي بها عندك أجراً ، وضع عني بها وزراً ، واجعلها لي عندك ذخراً ، وتقبلها مني كما تقبلتها من عبدك داود]

 الترمذي 2/473 والحاكم وصححه ووافقه الذهبي 1/ 219

 

[Ewe Mwenyezi Mungu  niandikie kwako kwa sijda hii malipo, na nifutie kwayo madhambi, na ijaalie kwangu mbele yako ni akiba, na nikubalie kama ulivyomkubalia mja wako Dawud]       [Imepokewa na Al-Tirmidhi na Hakim na akasahihisha na kuafikiwa na Al-Dhahabiy]


SIKILIZA DUA ZA SIJDA YA KISOMO


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669216
TodayToday881
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 218

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19ba780ee417655116331777441703
title_69f19ba780f3417745517431777441703
title_69f19ba780f8112379509991777441703

NISHATI ZA OFISI

title_69f19ba7815a520193670901777441703
title_69f19ba7815f412257515091777441703
title_69f19ba78164114179190071777441703 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com