Menu

KINGA YA MUISLAMU


 sijda ya kisomo


 

[{سجد وجهي للذي خلقه ، وشق سمعه وبصره بحوله وقوته  {فتبارك الله أحسن الخالقين] 

 الترمذي 2/474 وأحمد 6/30 والحاكم وصححه ووافقه الذهبي 1/ 220 والزيادة له 

 

[Umesujudu uso wangu kumsujudia  yule ambae ameuumba  na akapasuwa masikio yake, na macho yake, kwa uwezo wake na nguvu zake, (Ametukuka Mwenyezi Mungu  mbora wa waumbaji)]        [Imepokewa na Al-Tirmidhiy na Ahmad na Hakim na kuisahihisha]


[اللهم أكتب لي بها عندك أجراً ، وضع عني بها وزراً ، واجعلها لي عندك ذخراً ، وتقبلها مني كما تقبلتها من عبدك داود]

 الترمذي 2/473 والحاكم وصححه ووافقه الذهبي 1/ 219

 

[Ewe Mwenyezi Mungu  niandikie kwako kwa sijda hii malipo, na nifutie kwayo madhambi, na ijaalie kwangu mbele yako ni akiba, na nikubalie kama ulivyomkubalia mja wako Dawud]       [Imepokewa na Al-Tirmidhi na Hakim na akasahihisha na kuafikiwa na Al-Dhahabiy]


SIKILIZA DUA ZA SIJDA YA KISOMO


 


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031835
TodayToday918
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 37

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d92335975214353806121787662899
title_6a8d9233597a215161712891787662899
title_6a8d9233597ee21452469041787662899

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d923359dbe15658279601787662899
title_6a8d923359e0c21410561171787662899
title_6a8d923359e593631983111787662899 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com