Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la pili:  Nguzo za kuuza na kununuwa.

Nguzo za kuuza na kununuwa ni tatu

1) Muuzaji na Mnunuzi

2) Bidhaa

3) Kauli kutoka kwa Muuzaji (Ijaab) na Mnunuzi (Qabul) mfano aseme Muuzaji: Nimeuza. Naye Mnunuzi aseme nimenunua.

Mbali na hayo, kuna Kauli ya vitendo mfano wake; Mnunuzi apeane pesa kwa Muuzaji naye apeane bidhaa pasi na mazungumzo kati yao.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6785159
TodayToday160
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9565d092b215979554071755928157
title_68a9565d0939d18931487851755928157
title_68a9565d0947e15810292811755928157

NISHATI ZA OFISI

title_68a9565d0aa0c13985204911755928157
title_68a9565d0aaf010287619781755928157
title_68a9565d0abd22110572871755928157 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com