Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la pili:  Nguzo za kuuza na kununuwa.

Nguzo za kuuza na kununuwa ni tatu

1) Muuzaji na Mnunuzi

2) Bidhaa

3) Kauli kutoka kwa Muuzaji (Ijaab) na Mnunuzi (Qabul) mfano aseme Muuzaji: Nimeuza. Naye Mnunuzi aseme nimenunua.

Mbali na hayo, kuna Kauli ya vitendo mfano wake; Mnunuzi apeane pesa kwa Muuzaji naye apeane bidhaa pasi na mazungumzo kati yao.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668116
TodayToday804
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 27

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866ae1ca74f113550229841751559708
title_6866ae1ca75de5113975921751559708
title_6866ae1ca76bb18596636941751559708

NISHATI ZA OFISI

title_6866ae1ca8c5a12341432431751559708
title_6866ae1ca8d4010182768861751559708
title_6866ae1ca8e1914590708581751559708 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com