Menu

SOMO LA FIQHI YA KUAMILIANA


somo lafiqhi


Suala la pili:  Nguzo za kuuza na kununuwa.

Nguzo za kuuza na kununuwa ni tatu

1) Muuzaji na Mnunuzi

2) Bidhaa

3) Kauli kutoka kwa Muuzaji (Ijaab) na Mnunuzi (Qabul) mfano aseme Muuzaji: Nimeuza. Naye Mnunuzi aseme nimenunua.

Mbali na hayo, kuna Kauli ya vitendo mfano wake; Mnunuzi apeane pesa kwa Muuzaji naye apeane bidhaa pasi na mazungumzo kati yao.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031730
TodayToday813
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 130

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d81e82eb0e20108285411787658728
title_6a8d81e82eb7811079560801787658728
title_6a8d81e82ebdb4133162151787658728

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d81e82f46c13418341161787658728
title_6a8d81e82f4b918438347251787658728
title_6a8d81e82f50413369805591787658728 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com