Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


WAKATI WA KUTOLEWA ZAKA 

Wakati bora wa kutoa zaka za fitri ni kutoa siku ya idd baada ya kutokeza kwa alfajiri na kabla ya swala ya Idd, na yaruhusiwa kutanguliza kuitoa kwa siku moja au siku mbili kabla siku ya Idd; kwa utkelazaji wa maswahaba. Wala haifai kuichelewesha hadi baada ya swala ya Idd, kwa Hadith ya Ibn Umar radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume 

 

[أن النبي صلى الله عليه وسلم أمر بزكاة الفطر أن تؤدى قبل خروج الناس إلى الصلاة]

 

[Ameamrisha Zaka za Fitri na zitolewe kabla ya watu kutoka kuswali (Iddi)]

Na katika Hadith ya Ibn Abbas Radhi za Allah ziwe juu yake: Amesema Mtume

 

من أداها قبل الصلاة فهي زكاة مقبولة، ومن أداها بعد الصلاة فهي صدقة من الصدقات]     رواه أبوداود]

 

[Atakayeitoa kabla ya swala basi ni Zaka inayokubaliwa, na atakayeitoa baada ya swala basi ni sadaka miongoni mwa sadaka]    [Imepokelewa na abi daud.]


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887010
TodayToday143
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 88

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7f9d77f911687627551782284189
title_6a3b7f9d77fdf11522014241782284189
title_6a3b7f9d7802b6445366451782284189

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7f9d785c23109643951782284189
title_6a3b7f9d786109834371211782284189
title_6a3b7f9d7865b16895830631782284189 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com