Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


MAANA YA ZAKA ZA FITRI
Zaka ya fitri
Zaka aliyoifaradhisha Mtume wakati wa kufungua katika kumalizika kwa mwezi wa Ramadhan.

Na imeitwa Zaka ya fitri kwasababu inawajibika pale mtu anapofungua kwa kumalizika mwezi wa Ramadhani.

 

HUKMU YA ZAKA YA FITRI 

Zaka ya Fitri ni lazima kwa kila Muislamu anayemiliki siku ya Idi na usiku wake pishi ya chakula cha ziada ya chakula chake cha siku na cha familia yake (nayo ni karibia kilo mbili na nusu).

Na yamlazimu mwenye kutoa Zaka ajitole Zaka nafsi yake, na mke wake, na wale ambao ni jukumu lake kuwalisha, hata mtoto alioko kwenye tumbo la mamake. Na dalili ya kuwajibika kwake ni ilivyopokewa kutoka kwa  Ibn Umar radhi za Mwenyezi Mungu zimfikie asema:

 

فرض رسول الله صلى الله عليه وسلم زكاة الفطر من رمضان صاعاً من تمر، أو صاعاً من شعير على العبد والحر، والذكر والأنثى، والصغير والكبير من المسلمين   رواه البخاري ومسلم

[Amefaradhisha Mtume ﷺ Zaka ya Fitri Mwezi wa Ramadhani Pishi moja ya tende, au Pishi moja ya Shayir (aina ya nafaka) kwa mtumwa na muungwana, na mume na mke, na mdogo na mkubwa katika waislamu.]  [Imepokewa na bukhari na muslim.]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668207
TodayToday7970
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 310

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17eddb1a6211613073961777434333
title_69f17eddb1ab32439693241777434333
title_69f17eddb1b0012316498881777434333

NISHATI ZA OFISI

title_69f17eddc848810898874171777434333
title_69f17eddc84eb4900380431777434333
title_69f17eddc854817034059851777434333 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com