Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Tayamamu hutenguka na kubatilika kwa kupatikana mambo yafuatayo :

1. Kupata maji baada ya kuyakosa. Hii ni kwa sababu kutayamamu ni badala ya maji, kwa hivyo itakapopatikana asili nayo ni maji hubatilika badala (tayamamu).

Kwa mujibu wa hadithi iliyopokelewa na Abu Dharri Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume wa mwenyezi Mungu amesema :

 

إِنَّ الصَّعِيدَ الطَّيِّبَ طَهُورُ المُسْلِمِ، وَإِنْ لَمْ يَجِدِ المَاءَ عَشْرَ سِنِينَ، فَإِذَا وَجَدَ المَاءَ فَلْيُمِسَّهُ بَشَرَتَهُ، فَإِنَّ ذَلِكَ خَيْرٌ]    رواه أبوداود]

 

[Hakika mchanga ulio safi ni tahara ya Muislamu hata kama hakupata maji kwa miaka kumi. Atakapoyapata maji basi na ajitwaharishe nayo kwani kufanya hivyo ndio bora]      [Imepokewa na Abuu Dawud.]

Hadithi hii inafahamisha kubatilika kwa tayamamu kwa kupatikana maji.

2. Mambo yote yanayotenguka na udhu tuliyoyataja katika mlango wa udhu.

3. Kuondokewa na udhuru wa kutayamamu uliowekwa na Sheria, kama ugonjwa na mfano wake.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668136
TodayToday824
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 16

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866b1be3fc0a10142221441751560638
title_6866b1be3fcf64650867111751560638
title_6866b1be3fde45629228251751560638

NISHATI ZA OFISI

title_6866b1be413a512608121751751560638
title_6866b1be4148c9038304691751560638
title_6866b1be4157a20644491961751560638 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com