Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Tayamamu hutenguka na kubatilika kwa kupatikana mambo yafuatayo :

1. Kupata maji baada ya kuyakosa. Hii ni kwa sababu kutayamamu ni badala ya maji, kwa hivyo itakapopatikana asili nayo ni maji hubatilika badala (tayamamu).

Kwa mujibu wa hadithi iliyopokelewa na Abu Dharri Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume wa mwenyezi Mungu amesema :

 

إِنَّ الصَّعِيدَ الطَّيِّبَ طَهُورُ المُسْلِمِ، وَإِنْ لَمْ يَجِدِ المَاءَ عَشْرَ سِنِينَ، فَإِذَا وَجَدَ المَاءَ فَلْيُمِسَّهُ بَشَرَتَهُ، فَإِنَّ ذَلِكَ خَيْرٌ]    رواه أبوداود]

 

[Hakika mchanga ulio safi ni tahara ya Muislamu hata kama hakupata maji kwa miaka kumi. Atakapoyapata maji basi na ajitwaharishe nayo kwani kufanya hivyo ndio bora]      [Imepokewa na Abuu Dawud.]

Hadithi hii inafahamisha kubatilika kwa tayamamu kwa kupatikana maji.

2. Mambo yote yanayotenguka na udhu tuliyoyataja katika mlango wa udhu.

3. Kuondokewa na udhuru wa kutayamamu uliowekwa na Sheria, kama ugonjwa na mfano wake.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785134
TodayToday135
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 23

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com