Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Tayamamu hutenguka na kubatilika kwa kupatikana mambo yafuatayo :

1. Kupata maji baada ya kuyakosa. Hii ni kwa sababu kutayamamu ni badala ya maji, kwa hivyo itakapopatikana asili nayo ni maji hubatilika badala (tayamamu).

Kwa mujibu wa hadithi iliyopokelewa na Abu Dharri Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume wa mwenyezi Mungu amesema :

 

إِنَّ الصَّعِيدَ الطَّيِّبَ طَهُورُ المُسْلِمِ، وَإِنْ لَمْ يَجِدِ المَاءَ عَشْرَ سِنِينَ، فَإِذَا وَجَدَ المَاءَ فَلْيُمِسَّهُ بَشَرَتَهُ، فَإِنَّ ذَلِكَ خَيْرٌ]    رواه أبوداود]

 

[Hakika mchanga ulio safi ni tahara ya Muislamu hata kama hakupata maji kwa miaka kumi. Atakapoyapata maji basi na ajitwaharishe nayo kwani kufanya hivyo ndio bora]      [Imepokewa na Abuu Dawud.]

Hadithi hii inafahamisha kubatilika kwa tayamamu kwa kupatikana maji.

2. Mambo yote yanayotenguka na udhu tuliyoyataja katika mlango wa udhu.

3. Kuondokewa na udhuru wa kutayamamu uliowekwa na Sheria, kama ugonjwa na mfano wake.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887138
TodayToday271
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 47

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba1115f22112206279811782292753
title_6a3ba1115f27420814527501782292753
title_6a3ba1115f2c217559927911782292753

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba1115f9312974258341782292753
title_6a3ba1115f97f20655790751782292753
title_6a3ba1115f9cc10881965691782292753 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com