Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Tayamamu hutenguka na kubatilika kwa kupatikana mambo yafuatayo :

1. Kupata maji baada ya kuyakosa. Hii ni kwa sababu kutayamamu ni badala ya maji, kwa hivyo itakapopatikana asili nayo ni maji hubatilika badala (tayamamu).

Kwa mujibu wa hadithi iliyopokelewa na Abu Dharri Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume wa mwenyezi Mungu amesema :

 

إِنَّ الصَّعِيدَ الطَّيِّبَ طَهُورُ المُسْلِمِ، وَإِنْ لَمْ يَجِدِ المَاءَ عَشْرَ سِنِينَ، فَإِذَا وَجَدَ المَاءَ فَلْيُمِسَّهُ بَشَرَتَهُ، فَإِنَّ ذَلِكَ خَيْرٌ]    رواه أبوداود]

 

[Hakika mchanga ulio safi ni tahara ya Muislamu hata kama hakupata maji kwa miaka kumi. Atakapoyapata maji basi na ajitwaharishe nayo kwani kufanya hivyo ndio bora]      [Imepokewa na Abuu Dawud.]

Hadithi hii inafahamisha kubatilika kwa tayamamu kwa kupatikana maji.

2. Mambo yote yanayotenguka na udhu tuliyoyataja katika mlango wa udhu.

3. Kuondokewa na udhuru wa kutayamamu uliowekwa na Sheria, kama ugonjwa na mfano wake.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887004
TodayToday137
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 54

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7eaf159523485767661782283951
title_6a3b7eaf159a12666371031782283951
title_6a3b7eaf159ed6515206671782283951

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7eaf2b49f9687388581782283951
title_6a3b7eaf2b4f48889230101782283951
title_6a3b7eaf2b5453144211161782283951 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com