Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


NAMNA YA KUTAYAMAMU.

1. Aupige mchanga kwa mikono yake pigo moja.

2. Kisha aipulize kupunguza vumbi.

3. Kisha apanguse uso wake kwa hiyo mikono mara moja.

4. Kisha apanguse upande wa nje wa wa vitanga vya mikono. Apanguse sehemu ya nje ya kitanga cha mkono wa kulia kwa sehemu ya ndani ya kitanga cha mkono wa kushoto, kisha nje ya kitanga cha mkono wa kushoto kwa sehemu ya

Na dalili ya namna ya kutayamamu ni hadithi ya Ammar Radhi za Allah ziwe juu yake

 

أن النَّبِيَّ ﷺ ضَرَبَ بِكَفَّيْهِ الْأَرْضَ، وَنَفَخَ فِيهِمَا، ثُمَّ مَسَحَ بِهِمَا وَجْهَهُ وَكَفَّيْهِ]     متفق عليه]

 

[Kwamba Mtume ﷺ alipiga ardhi kwa vitanga vyake viwili vya mkono, akavipuliza kisha akapangusa uso wake na vitanga vyake kwavyo]      [Imepokewa na Bukhari na Muslim.].

FARADHI ZA KUTAYAMAMU.

1. Kutia nia.

2. Kupangusa uso.

3. Kupangusa vitanga vya mikono.

4. Kufuatanisha: aanze kupangusa uso kisha vitanga viwili vya mikono.

5. Kufuliliza: Apanguse mikono miwili baada ya kupangusa uso papo kwa papo.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887010
TodayToday143
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 88

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7fa205e124983870541782284194
title_6a3b7fa205e618395257091782284194
title_6a3b7fa205ead2598145021782284194

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7fa2064301468893681782284194
title_6a3b7fa20647c12825382221782284194
title_6a3b7fa2064c717327871601782284194 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com