Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


1. YANAPOKOSEKANA MAJI

Kwa neno lake Mwenyezi Mungu aliyetukuka:

 

فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا}     المائدة:6}

 

[Na mkitopata maji tayamamuni]   [5: 6].

Na mtu haambiwi kuwa amekosa maji iwapo hakuyatafuta.

2. KUSHINDWA KUYATUMIA MAJI
Kama mgonjwa au mkongwe asiyeweza kutembea, na akawa hana wa kumsaidia kutawadha.

3. WAKATI WA KUCHELEA MADHARA KWA KUTUMIA MAJI
Miongoni mwa hayo:

a) Mgonjwa ambaye angeyatumia maji ugonjwa wake utazidi.

b) Mtu aliye mahali penye baridi kali na asiwe na kitu cha kupasha maji moto na akawa na yakini lau ataoga atapatikana na ugonjwa.

Hii ni kwa hadithi iliyothubutu kuwa Mtume   alimkubalia ‘Amr bin al-’Asw alipowaswalisha wenzake hali akiwa ametayamamu kwa sababu ya baridi kali   [Imepokewa na Abu Daud.].

c) Awapo mahali mbali na hana maji isipokuwa kidogo ambayo anayahitajia kwa kunywa na hawezi kuleta mengine.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785135
TodayToday136
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com