Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


1. YANAPOKOSEKANA MAJI

Kwa neno lake Mwenyezi Mungu aliyetukuka:

 

فَلَمْ تَجِدُوا مَاءً فَتَيَمَّمُوا}     المائدة:6}

 

[Na mkitopata maji tayamamuni]   [5: 6].

Na mtu haambiwi kuwa amekosa maji iwapo hakuyatafuta.

2. KUSHINDWA KUYATUMIA MAJI
Kama mgonjwa au mkongwe asiyeweza kutembea, na akawa hana wa kumsaidia kutawadha.

3. WAKATI WA KUCHELEA MADHARA KWA KUTUMIA MAJI
Miongoni mwa hayo:

a) Mgonjwa ambaye angeyatumia maji ugonjwa wake utazidi.

b) Mtu aliye mahali penye baridi kali na asiwe na kitu cha kupasha maji moto na akawa na yakini lau ataoga atapatikana na ugonjwa.

Hii ni kwa hadithi iliyothubutu kuwa Mtume   alimkubalia ‘Amr bin al-’Asw alipowaswalisha wenzake hali akiwa ametayamamu kwa sababu ya baridi kali   [Imepokewa na Abu Daud.].

c) Awapo mahali mbali na hana maji isipokuwa kidogo ambayo anayahitajia kwa kunywa na hawezi kuleta mengine.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668134
TodayToday822
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 17

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866b1be3fc0a10142221441751560638
title_6866b1be3fcf64650867111751560638
title_6866b1be3fde45629228251751560638

NISHATI ZA OFISI

title_6866b1be413a512608121751751560638
title_6866b1be4148c9038304691751560638
title_6866b1be4157a20644491961751560638 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com