Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi 


MAANA YA ISTIHADHA

Istihadha: Ni kutiririka damu kutoka kwenye tupu ya mwanamke ikawa haikomi kabisa au ikatike kwa kipindi kichache.

TOFAUTI BAINA YA DAMU YA HEDHI NA YA ISTIHADHA 

DAMU YA ISTIHADHA  DAMU YA HEDHI
Nyekundu nyepesi  Nyeusi nzito
Haina harufu Ina harufu mbaya yenye kuchukiza
Inaganda (inashikana) Haigandi (haishikani)
Inatoka kwenye kishipa cha uzao cha karibu Inatoka mwisho wa uzao
Damu ya kuashiria kasoro, ugonjwa na uharibikaji Damu ya afya na ya kawaida
Haina wakati maalumu

Inatoka wakati maalumu


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668190
TodayToday878
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 20

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c024e163f19308474231751564324
title_6866c024e171d4402162131751564324
title_6866c024e180019752065531751564324

NISHATI ZA OFISI

title_6866c024e2f7a20147589171751564324
title_6866c024e306010962541821751564324
title_6866c024e314120115794181751564324 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com