Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi 


MAANA YA ISTIHADHA

Istihadha: Ni kutiririka damu kutoka kwenye tupu ya mwanamke ikawa haikomi kabisa au ikatike kwa kipindi kichache.

TOFAUTI BAINA YA DAMU YA HEDHI NA YA ISTIHADHA 

DAMU YA ISTIHADHA  DAMU YA HEDHI
Nyekundu nyepesi  Nyeusi nzito
Haina harufu Ina harufu mbaya yenye kuchukiza
Inaganda (inashikana) Haigandi (haishikani)
Inatoka kwenye kishipa cha uzao cha karibu Inatoka mwisho wa uzao
Damu ya kuashiria kasoro, ugonjwa na uharibikaji Damu ya afya na ya kawaida
Haina wakati maalumu

Inatoka wakati maalumu


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785148
TodayToday149
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 25

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com