Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi 


MAANA YA ISTIHADHA

Istihadha: Ni kutiririka damu kutoka kwenye tupu ya mwanamke ikawa haikomi kabisa au ikatike kwa kipindi kichache.

TOFAUTI BAINA YA DAMU YA HEDHI NA YA ISTIHADHA 

DAMU YA ISTIHADHA  DAMU YA HEDHI
Nyekundu nyepesi  Nyeusi nzito
Haina harufu Ina harufu mbaya yenye kuchukiza
Inaganda (inashikana) Haigandi (haishikani)
Inatoka kwenye kishipa cha uzao cha karibu Inatoka mwisho wa uzao
Damu ya kuashiria kasoro, ugonjwa na uharibikaji Damu ya afya na ya kawaida
Haina wakati maalumu

Inatoka wakati maalumu


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668189
TodayToday7952
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 266

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e5699c7111934045961777434198
title_69f17e56af74419209351621777434198
title_69f17e56af83310022220941777434198

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e56b08c49289721371777434198
title_69f17e56b09201945149171777434198
title_69f17e56b09793885283331777434198 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com