Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


MIONGONI MWA HUKUMU ZA KUMFUATA IMAMU

1. Haisihi kwa mtu aliye nyumbani kwake kumfuata imamu kupitia kusikia sauti yake kwa kipaza sauti au kupitia kusikiliza redio.

2. Inafaa kumfuata imamu kutoka nje ya msikiti iwapo safu zimeungana.

3. Inasihi kwa maamuma kumfuata imamu hata kama wako juu ya sakafu ya msikiti au wakawa chini ya imamu iwapo wanasikia sauti yake.

4. Inafaa kwa mwenye kuswali faradhi kumfuata mwenye kuswali sunna au kinyume chake, mfano wa mwenye kuswali swala ya Isha nyuma ya mwenye kuswali Tarawehe, au kuswali pamoja na aliyepitwa na Swala ili apate thawabu ya Swala ya jamaa. Jabir bin Abdillah Radhi za Allah ziwe juu yake  amepokewa akisema kwamba "Mu’aadh alikuwa akiswali pamoja na Mtume ﷺ kisha akiwajia watu wake akiwaswalisha" [Imepokewa na Bukhari.].


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668633
TodayToday298
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 770

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18c947fce51506470491777437844
title_69f18c947fd49176144111777437844
title_69f18c947fd805891132921777437844

NISHATI ZA OFISI

title_69f18c948085e13129102341777437844
title_69f18c94808c32840970651777437844
title_69f18c94809238890959101777437844 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com