Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


KUMTANGULIA IMAMU KATIKA SWALA

1. Amri ya Sheria ni kuwa maamuma amfuate imamu wake kwa kufanya kitendo anachofanya imamu wake papo kwa papo, kwa kauli ya Mtume ﷺ:

 

إِنَّمَا جُعِلَ الإِمَامُ لِيُؤْتَمَّ بِهِ، فَإِذَا كَبَّرَ فَكَبِّرُوا، وإِذَا سَجَدَ فَاسْجُدُوا]    رواه البخاري ومسلم]

 

[Imamu amewekwa afuatwe: akipiga takbri, na nyinyi pigeni takbiri, na akisujudu, na nyinyi sujuduni]     [ Imepokewa na Bukhari na Muslim.]

2. Imeharamishwa kumtangulia imamu, na Mtume alilitilia hilo makazo mkubwa kwa kusema:

 

أما يخشى الذي يرفع رأسه قبل الإمام أن يحول الله رأسه رأس حمار]    رواه البخاري ومسلم]

 

[Kwani haogopi ambae anaeinuwa kichwa chake kabla ya imamu, Mwenyezi Mungu amgeuze kichwa chake akifanye kichwa cha punda]    [ Imepokewa na Bukhari na Muslim.].

3. Mwenye kumtangulia imamu wake kwa kusahau itamlazimu arudi amfuate.

 

TANBIHI:

Kuswali nyuma ya asiye na Twahara
Swala Haisihi nyuma ya asiye na twahara isipokuwa iwapo hakujulishwa kuwa hana udhu mpaka baada ya kumalizika Swala. Na katika hali hii inasihi swala ya maamuma, na ni juu ya imamu arudie Swala.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887005
TodayToday138
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 64

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7ec4d8bfd5891675061782283972
title_6a3b7ec4d8c618492338241782283972
title_6a3b7ec4d8cc11883593401782283972

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7ec4d949d7991445171782283972
title_6a3b7ec4d94fc2852859221782283972
title_6a3b7ec4d955a16277409061782283972 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com