Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


KUMTANGULIA IMAMU KATIKA SWALA

1. Amri ya Sheria ni kuwa maamuma amfuate imamu wake kwa kufanya kitendo anachofanya imamu wake papo kwa papo, kwa kauli ya Mtume ﷺ:

 

إِنَّمَا جُعِلَ الإِمَامُ لِيُؤْتَمَّ بِهِ، فَإِذَا كَبَّرَ فَكَبِّرُوا، وإِذَا سَجَدَ فَاسْجُدُوا]    رواه البخاري ومسلم]

 

[Imamu amewekwa afuatwe: akipiga takbri, na nyinyi pigeni takbiri, na akisujudu, na nyinyi sujuduni]     [ Imepokewa na Bukhari na Muslim.]

2. Imeharamishwa kumtangulia imamu, na Mtume alilitilia hilo makazo mkubwa kwa kusema:

 

أما يخشى الذي يرفع رأسه قبل الإمام أن يحول الله رأسه رأس حمار]    رواه البخاري ومسلم]

 

[Kwani haogopi ambae anaeinuwa kichwa chake kabla ya imamu, Mwenyezi Mungu amgeuze kichwa chake akifanye kichwa cha punda]    [ Imepokewa na Bukhari na Muslim.].

3. Mwenye kumtangulia imamu wake kwa kusahau itamlazimu arudi amfuate.

 

TANBIHI:

Kuswali nyuma ya asiye na Twahara
Swala Haisihi nyuma ya asiye na twahara isipokuwa iwapo hakujulishwa kuwa hana udhu mpaka baada ya kumalizika Swala. Na katika hali hii inasihi swala ya maamuma, na ni juu ya imamu arudie Swala.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668196
TodayToday7959
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 282

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e7e372938936270391777434238
title_69f17e7e372f621384043011777434238
title_69f17e7e3735516919745651777434238

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e7e37bec6037274961777434238
title_69f17e7e37c4c4524060771777434238
title_69f17e7e37ca911428443631777434238 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com