Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


ALAMA ZA LAYLATUL QADR

1. Ni usiku ambao hauna joto wala baridi kali.
Kutoka kwa Jaabir ibn Abdillahi radhi za Allah ziwe juu yake Amesema: Amesema Mtume :

 

إني كنتُ أريتُ ليلة القدر ثم نَسيتُها وهي في العشر الأواخر، وهي طلقة بلجة لا حارة ولا باردة]    رواه إبن خزيمة]

 

[Nilikuwa nimeoneshwa Lailatu Al-qadr, kisha nikasahaulishwa, nayo iko katika nyakati za usiku wa kumi la mwisho, nao ni usiku wenye bashasha unang’ara usio na joto wala baridi]     [Imepokewa na Ibnu Khuzeymah].

2. Jua linatokeza Asubuhi yake jeupe halina Miale.
Anasema Ubeyi ibn Ka’ab radhi za Allah ziwe juu yake alipoulizwa kuhusu dalili za Lailatu Al-qadr:

 

وأمارتها أن تطلع الشمس في صبيحة يومِها بيضاء لا شعاع لها]      رواه إبن حبان]

 

[Na dalili yake ni kuchomoza kwa jua asubuhi yake likiwa leupe halina miale]. [Imepokewa na Ibnu Hibbaan]

Na katika upokezi wa Muslim: [Jeupe halina miale].

MAELEZO
1. Ni juu ya kila muislamu kuzidisha kufanaya ibada katika siku kumi za mwisho za mwezi wa ramadhani kwa sampuli ya ibada mbali mbali kwa sababu ni masiku bora ya mwaka.

2. Ni juu ya Muislamu asipoteze wakati wake katika masiku matukufu na msimu wa kheri kwa kufanya upuzi na mchezo na kuzurura masokoni, na kutembea sehemu zisizo kuwa nahaja.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887005
TodayToday138
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 67

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7ed0a88e915838490221782283984
title_6a3b7ed0a89393525192801782283984
title_6a3b7ed0a89867408264651782283984

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7ed0a8f778804202691782283984
title_6a3b7ed0a8fc52997483361782283984
title_6a3b7ed0a901117781400381782283984 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com