Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


ALAMA ZA LAYLATUL QADR

1. Ni usiku ambao hauna joto wala baridi kali.
Kutoka kwa Jaabir ibn Abdillahi radhi za Allah ziwe juu yake Amesema: Amesema Mtume :

 

إني كنتُ أريتُ ليلة القدر ثم نَسيتُها وهي في العشر الأواخر، وهي طلقة بلجة لا حارة ولا باردة]    رواه إبن خزيمة]

 

[Nilikuwa nimeoneshwa Lailatu Al-qadr, kisha nikasahaulishwa, nayo iko katika nyakati za usiku wa kumi la mwisho, nao ni usiku wenye bashasha unang’ara usio na joto wala baridi]     [Imepokewa na Ibnu Khuzeymah].

2. Jua linatokeza Asubuhi yake jeupe halina Miale.
Anasema Ubeyi ibn Ka’ab radhi za Allah ziwe juu yake alipoulizwa kuhusu dalili za Lailatu Al-qadr:

 

وأمارتها أن تطلع الشمس في صبيحة يومِها بيضاء لا شعاع لها]      رواه إبن حبان]

 

[Na dalili yake ni kuchomoza kwa jua asubuhi yake likiwa leupe halina miale]. [Imepokewa na Ibnu Hibbaan]

Na katika upokezi wa Muslim: [Jeupe halina miale].

MAELEZO
1. Ni juu ya kila muislamu kuzidisha kufanaya ibada katika siku kumi za mwisho za mwezi wa ramadhani kwa sampuli ya ibada mbali mbali kwa sababu ni masiku bora ya mwaka.

2. Ni juu ya Muislamu asipoteze wakati wake katika masiku matukufu na msimu wa kheri kwa kufanya upuzi na mchezo na kuzurura masokoni, na kutembea sehemu zisizo kuwa nahaja.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668053
TodayToday741
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 15

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68669fa61b9784948877771751556006
title_68669fa61ba5e5169141801751556006
title_68669fa61bb461234970901751556006

NISHATI ZA OFISI

title_68669fa61d0cd8878783401751556006
title_68669fa61d1a53917590831751556006
title_68669fa61d27c19955603421751556006 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com