Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Nguzo za Umra
1. Kuhirimia:
kwa kauli ya Mtume :

 

[إِنَّمَا الْأَعْمَالُ بِالنِّيَّاتِ، وَإِنَّمَا لِكُلِّ امْرِئٍ مَا نَوَى ]   [رواه البخاري]

 

[Hakika matendo yanazingatiwa kwa nia, na hakika ni kwamba kila mtu atapata lile alilonuilia]   [Imepokewa na Bukhari.]

2. Kusai baina ya Swafaa na Marwah:
kwa kauli ya Mtume :

[اسْعَوْا؛ فَإِنَّ الله كَتَبَ عَلَيْكُمْ السَّعْيَ]    [رواه أحمد] 

 

[Fanyeni Sai, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewafaradhia kusai]   [Imepokewa na Ahmad.]

3. Alkaaba:
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

 وَلۡيَطَّوَّفُواْ بِٱلۡبَيۡتِ ٱلۡعَتِيقِ}   الحج: 29}

 

[Na waitufu Nyumba ya Zamani]   [22: 29]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785523
TodayToday524
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98fb749eac19585245311755942839
title_68a98fb749fa912203850161755942839
title_68a98fb74a09319110417461755942839

NISHATI ZA OFISI

title_68a98fb74d9605821471001755942839
title_68a98fb74da5c17044642991755942839
title_68a98fb74db3b13656295111755942839 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com