Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Nguzo za Umra
1. Kuhirimia:
kwa kauli ya Mtume :

 

[إِنَّمَا الْأَعْمَالُ بِالنِّيَّاتِ، وَإِنَّمَا لِكُلِّ امْرِئٍ مَا نَوَى ]   [رواه البخاري]

 

[Hakika matendo yanazingatiwa kwa nia, na hakika ni kwamba kila mtu atapata lile alilonuilia]   [Imepokewa na Bukhari.]

2. Kusai baina ya Swafaa na Marwah:
kwa kauli ya Mtume :

[اسْعَوْا؛ فَإِنَّ الله كَتَبَ عَلَيْكُمْ السَّعْيَ]    [رواه أحمد] 

 

[Fanyeni Sai, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewafaradhia kusai]   [Imepokewa na Ahmad.]

3. Alkaaba:
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

 وَلۡيَطَّوَّفُواْ بِٱلۡبَيۡتِ ٱلۡعَتِيقِ}   الحج: 29}

 

[Na waitufu Nyumba ya Zamani]   [22: 29]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668072
TodayToday760
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 15

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866a3778ee468674162601751556983
title_6866a3778ef3121184169101751556983
title_6866a3778f0059522845301751556983

NISHATI ZA OFISI

title_6866a377903ed21126601691751556983
title_6866a377904c210678463481751556983
title_6866a377905971233859871751556983 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com