Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Wajibu za Umra
1. Kuhirimia kutoka kwenye mahali palipowekewa kuhirimia,
kwa neno lake Mtume baada ya kutaja sehemu za kuhirimia:

 

هُنَّ لَهُنَّ، وَلِمَنْ أَتَى عَلَيْهِنَّ مِنْ غَيْرِهِنَّ مِمَّنْ أَرَادَ الْحَجَّ وَالْعُمْرَ]   رواه البخاري]

 

[Sehemu hizo zimewekewa watu wa hapo na wasiokuwa watu wa hapo kati ya wale wanaofika hapo miongoni mwa wanaotaka kuhiji au kufanya Umra]   [Imepokewa na Bukhari.]

2. Kunyoa au kupunguza,
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

لَتَدۡخُلُنَّ ٱلۡمَسۡجِدَ ٱلۡحَرَامَ إِن شَآءَ ٱللَّهُ ءَامِنِينَ مُحَلِّقِينَ رُءُوسَكُمۡ وَمُقَصِّرِينَ}   الفتح: 27}

 

[Mtaingia Msikiti wa Haram mkiwa katika amani apendapo Mwenyezi Mungu, hali ya ya kunyoa vichwa vyenu na kupunguza]   [48: 27].

Sunna za Umra
Sizokuwa nguzo na wajibu ni sunna.

-Matanabahisho

1. Mwenye kuacha nguzo moja miongoni mwa nguzo za Umra, ibada yake ya Umra haitatimia mpaka ailete.

2. Mweye kuacha tendo moja la wajibu miongoni mwa wajibu za Umra, itamlazimu achinje mnyama (mbuzi au kondoo, au fungu moja kati ya mafungo saba ya ngombe au ngamia.

3. Mwenye kuacha sunna ya umra haimlazimu chochote, na umra yake ni sahihi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031684
TodayToday767
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 90

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d799a487a97955289601787656602
title_6a8d799a4880a8474358311787656602
title_6a8d799a4886a20498754221787656602

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d799a48f429878280021787656602
title_6a8d799a48f906814271031787656602
title_6a8d799a48fdc5352933601787656602 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com