Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Wajibu za Umra
1. Kuhirimia kutoka kwenye mahali palipowekewa kuhirimia,
kwa neno lake Mtume baada ya kutaja sehemu za kuhirimia:

 

هُنَّ لَهُنَّ، وَلِمَنْ أَتَى عَلَيْهِنَّ مِنْ غَيْرِهِنَّ مِمَّنْ أَرَادَ الْحَجَّ وَالْعُمْرَ]   رواه البخاري]

 

[Sehemu hizo zimewekewa watu wa hapo na wasiokuwa watu wa hapo kati ya wale wanaofika hapo miongoni mwa wanaotaka kuhiji au kufanya Umra]   [Imepokewa na Bukhari.]

2. Kunyoa au kupunguza,
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

لَتَدۡخُلُنَّ ٱلۡمَسۡجِدَ ٱلۡحَرَامَ إِن شَآءَ ٱللَّهُ ءَامِنِينَ مُحَلِّقِينَ رُءُوسَكُمۡ وَمُقَصِّرِينَ}   الفتح: 27}

 

[Mtaingia Msikiti wa Haram mkiwa katika amani apendapo Mwenyezi Mungu, hali ya ya kunyoa vichwa vyenu na kupunguza]   [48: 27].

Sunna za Umra
Sizokuwa nguzo na wajibu ni sunna.

-Matanabahisho

1. Mwenye kuacha nguzo moja miongoni mwa nguzo za Umra, ibada yake ya Umra haitatimia mpaka ailete.

2. Mweye kuacha tendo moja la wajibu miongoni mwa wajibu za Umra, itamlazimu achinje mnyama (mbuzi au kondoo, au fungu moja kati ya mafungo saba ya ngombe au ngamia.

3. Mwenye kuacha sunna ya umra haimlazimu chochote, na umra yake ni sahihi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668201
TodayToday7964
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 293

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17ea1375182623490041777434273
title_69f17ea1375603350870701777434273
title_69f17ea1375b05472812061777434273

NISHATI ZA OFISI

title_69f17ea137bd117956176041777434273
title_69f17ea137c1f20057577391777434273
title_69f17ea137c6a9193868371777434273 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com