Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Wajibu za Umra
1. Kuhirimia kutoka kwenye mahali palipowekewa kuhirimia,
kwa neno lake Mtume baada ya kutaja sehemu za kuhirimia:

 

هُنَّ لَهُنَّ، وَلِمَنْ أَتَى عَلَيْهِنَّ مِنْ غَيْرِهِنَّ مِمَّنْ أَرَادَ الْحَجَّ وَالْعُمْرَ]   رواه البخاري]

 

[Sehemu hizo zimewekewa watu wa hapo na wasiokuwa watu wa hapo kati ya wale wanaofika hapo miongoni mwa wanaotaka kuhiji au kufanya Umra]   [Imepokewa na Bukhari.]

2. Kunyoa au kupunguza,
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

لَتَدۡخُلُنَّ ٱلۡمَسۡجِدَ ٱلۡحَرَامَ إِن شَآءَ ٱللَّهُ ءَامِنِينَ مُحَلِّقِينَ رُءُوسَكُمۡ وَمُقَصِّرِينَ}   الفتح: 27}

 

[Mtaingia Msikiti wa Haram mkiwa katika amani apendapo Mwenyezi Mungu, hali ya ya kunyoa vichwa vyenu na kupunguza]   [48: 27].

Sunna za Umra
Sizokuwa nguzo na wajibu ni sunna.

-Matanabahisho

1. Mwenye kuacha nguzo moja miongoni mwa nguzo za Umra, ibada yake ya Umra haitatimia mpaka ailete.

2. Mweye kuacha tendo moja la wajibu miongoni mwa wajibu za Umra, itamlazimu achinje mnyama (mbuzi au kondoo, au fungu moja kati ya mafungo saba ya ngombe au ngamia.

3. Mwenye kuacha sunna ya umra haimlazimu chochote, na umra yake ni sahihi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887010
TodayToday143
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 89

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7fa04fc6f11531095901782284192
title_6a3b7fa04fcbf1608189341782284192
title_6a3b7fa04fd0c9238599431782284192

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7fa0502bc16294548011782284192
title_6a3b7fa05030916997798921782284192
title_6a3b7fa0503543674686641782284192 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com