Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Sunna za Hijja
Lisilokuwa nguzo na wajibu ni Sunna, kama inavyofuata:

1. Kuoga wakati wa kuhirimia.

2. Kuhirimia kwa kikoi cheupe na shuka ya juu nyeupe.

3. Kuleta Labeka kwa sauti ya juu.

4. Kutufu twawafu ya kufika Makka kwa anayechanganya Hija na Umra na anayehiji peke yake.

5. Kwenda haraka katika mizunguko mitatu ya mwanzo twawafu ya kufika Makka (kwa ibada ya Hija) au Umra. Ramal ni kutembea kwa haraka.

6. Kufanya idhtibaa’ katika twawafu ya kufika Makka (kwa mwenye kuhiji) au Umra, nako ni kuiweka shuka yake ya juu chini ya kapwa la mkono wa kulia.

7. Kulala Mina usiku wa Arafa.

8. Kulibusu Jiwe Leusi.

9. Kukusanya swala ya Maghrib na isha katika Muzdalifa kwa kuchelewesh

10. Kusimama Muzdalifa kwenye mash’aril haraam kuanzia Alfajiri mpa karibu na kuchomoza jua akiweza kufanaya hivyo, asipo weza sehemu yoyote ya Muzdalifa ni sehemu yakisimamo.

Tanbihi

Sunna za Hijja

Mwenye kuiacha sunna moja miongoni mwa sunna za Hija, halazimiwi na kitu chochote, na Hija yake ni sahihi.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785793
TodayToday794
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 17

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9c96c8885f7633148121755957612
title_68a9c96c8894b7210736471755957612
title_68a9c96c88a2c19678958111755957612

NISHATI ZA OFISI

title_68a9c96c89fab18276022411755957612
title_68a9c96c8a08914250082781755957612
title_68a9c96c8a1627856953191755957612 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com