Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Sunna za Hijja
Lisilokuwa nguzo na wajibu ni Sunna, kama inavyofuata:

1. Kuoga wakati wa kuhirimia.

2. Kuhirimia kwa kikoi cheupe na shuka ya juu nyeupe.

3. Kuleta Labeka kwa sauti ya juu.

4. Kutufu twawafu ya kufika Makka kwa anayechanganya Hija na Umra na anayehiji peke yake.

5. Kwenda haraka katika mizunguko mitatu ya mwanzo twawafu ya kufika Makka (kwa ibada ya Hija) au Umra. Ramal ni kutembea kwa haraka.

6. Kufanya idhtibaa’ katika twawafu ya kufika Makka (kwa mwenye kuhiji) au Umra, nako ni kuiweka shuka yake ya juu chini ya kapwa la mkono wa kulia.

7. Kulala Mina usiku wa Arafa.

8. Kulibusu Jiwe Leusi.

9. Kukusanya swala ya Maghrib na isha katika Muzdalifa kwa kuchelewesh

10. Kusimama Muzdalifa kwenye mash’aril haraam kuanzia Alfajiri mpa karibu na kuchomoza jua akiweza kufanaya hivyo, asipo weza sehemu yoyote ya Muzdalifa ni sehemu yakisimamo.

Tanbihi

Sunna za Hijja

Mwenye kuiacha sunna moja miongoni mwa sunna za Hija, halazimiwi na kitu chochote, na Hija yake ni sahihi.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668189
TodayToday7952
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 266

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e4fb201e11148480091777434191
title_69f17e4fb206e6582026551777434191
title_69f17e4fb20bb10446210991777434191

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e4fc800410445660151777434191
title_69f17e4fc80538310223781777434191
title_69f17e4fc80ad17756134271777434191 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com