Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Maelekezo
1. Ni juu ya Muislamu kutoingia kwenye zahma pamoja na wenye kutufu ili asijitie kwenye tabu yeye na kuwatia wenzake, katika kutaka kulisalimia jiwe jeusi ama kulibusu, na vilevile hata fanya raml kufanya haraka katika kuzunguka alkaba ikiwa atawaudhi wenye kufanya twafu.

2. Ataomba kwenye Twawafu kwa atakavo weza, na Twawafu haina Dua maluum isipokuwa yale yalio tanguliya, na lau atasoma Qur’ani katika Twawafu yake hakuna ubaya wowote kufanya hivyo.

3. Kufanya idhtibaa (kufungua bega) ni sunna katika Twawafu ya Umrah au Twawafu ya Quduum katika mizungu yote.

4. Na mwanamke ajiepushe kudhihirisha mapambo katika Twawafu yake na kujipaka manukato, na kuinuwa sauti katika kuleta dhikri na dua


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668033
TodayToday721
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 19

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68669867761436184925161751554151
title_686698677622d16483867111751554151
title_686698677630d11008458791751554151

NISHATI ZA OFISI

title_68669867778e020131186481751554151
title_68669867779c8539681181751554151
title_6866986777aa45221158701751554151 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com