Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Maelekezo
1. Ni juu ya Muislamu kutoingia kwenye zahma pamoja na wenye kutufu ili asijitie kwenye tabu yeye na kuwatia wenzake, katika kutaka kulisalimia jiwe jeusi ama kulibusu, na vilevile hata fanya raml kufanya haraka katika kuzunguka alkaba ikiwa atawaudhi wenye kufanya twafu.

2. Ataomba kwenye Twawafu kwa atakavo weza, na Twawafu haina Dua maluum isipokuwa yale yalio tanguliya, na lau atasoma Qur’ani katika Twawafu yake hakuna ubaya wowote kufanya hivyo.

3. Kufanya idhtibaa (kufungua bega) ni sunna katika Twawafu ya Umrah au Twawafu ya Quduum katika mizungu yote.

4. Na mwanamke ajiepushe kudhihirisha mapambo katika Twawafu yake na kujipaka manukato, na kuinuwa sauti katika kuleta dhikri na dua


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785668
TodayToday669
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 11

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9affc67fd818286502501755951100
title_68a9affc680c15300906771755951100
title_68a9affc681a621017062021755951100

NISHATI ZA OFISI

title_68a9affc697ac9670562011755951100
title_68a9affc698952698114001755951100
title_68a9affc6997917374321351755951100 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com