Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


NGUZO ZA HIJA

1. Kuhirimia:
kwa neno la Mtume :

 

[إِنَّمَا الْأَعْمَالُ بِالنِّيَّاتِ، وَإِنَّمَا لِكُلِّ امْرِئٍ مَا نَوَى .]  [رواه البخاري]

 

[Hakika matendo mema yategemea nia, na hakika kila mtu atapata lile alilonuilia] [Imepokewa na Bukhari.].

2. Kusai baina ya Swafaa na Marwah:
kwa neno lake :

[اسْعَوْا؛ فَإِنَّ الله كَتَبَ عَلَيْكُمْ السَّعْيَ].   [رواه أحمد]

 

[Fanyeni Sai, kwani Mwenyezi Mungu Amewafaradhia kusai]   [Imepokewa na Ahmad.].

3. Kusimama Arafa:
kwa kauli ya Mtume :

[الْحَجُّ عَرَفَةُ]. [رواه الترمذي]

[Hija ni Arafa]  [Imepokewa na Tirmidhi.].

4. Twawafu ya Ifaadhah:
kwa neno la Mwenyezi Mungu Aliyetukuka:

 

وَلۡيَطَّوَّفُواْ بِٱلۡبَيۡتِ ٱلۡعَتِيقِ} الحج: 29}

 

[Na ili waitufu Nyumba ya Zamani]  [22: 29].

Tanabahisho

Mwenye kuacha nguzo moja miongoni mwa nguzo za Hijja, ikiwa ni kuhirimia basi ibada yake haikubaliki kwa sababu hakutia nia na ibada haikubaliki bila ya nia na ikwa ni nguzo nyingine ya Hijja haitatimia mpaka ailete.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669220
TodayToday885
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 215

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19bd4215a510278718211777441748
title_69f19bd4215c88987010541777441748
title_69f19bd4216156120841751777441748

NISHATI ZA OFISI

title_69f19bd421c1c11635925411777441748
title_69f19bd421c6a16005111281777441748
title_69f19bd421cb64156665041777441748 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com