Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Twawafu ya kuaga
Anae fanya haji akitaka kutoka Makka atafanya Twawaafu ya kuaga, nayo ni wajibu miongoni mwa wajibu za Hija, na hafanyi sai na hupomoka Twawafu ya kuaga kwa mwanamke menye Hedhi na Nifasi

Kuichelewasha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya Kuaga
Lau mwenye kufanya hija ataichelewesha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya kuaga yafaa kufanya hivyo lakini si bora kufanya hivyo, na itamtosheleza Twawafu ya ifaadha kwa sharti atie nia ya Ifaadha itamtosheleza na Twawafu ya kuaga hata kama atafanya sai baada yake.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669220
TodayToday885
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 215

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19bd0b38396837072031777441744
title_69f19bd0b38891556565701777441744
title_69f19bd0b38d611603235741777441744

NISHATI ZA OFISI

title_69f19bd0b3e9119826968931777441744
title_69f19bd0b3ee020417333901777441744
title_69f19bd0b3f2d4961168221777441744 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com