Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Twawafu ya kuaga
Anae fanya haji akitaka kutoka Makka atafanya Twawaafu ya kuaga, nayo ni wajibu miongoni mwa wajibu za Hija, na hafanyi sai na hupomoka Twawafu ya kuaga kwa mwanamke menye Hedhi na Nifasi

Kuichelewasha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya Kuaga
Lau mwenye kufanya hija ataichelewesha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya kuaga yafaa kufanya hivyo lakini si bora kufanya hivyo, na itamtosheleza Twawafu ya ifaadha kwa sharti atie nia ya Ifaadha itamtosheleza na Twawafu ya kuaga hata kama atafanya sai baada yake.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668073
TodayToday761
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 14

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866a3778ee468674162601751556983
title_6866a3778ef3121184169101751556983
title_6866a3778f0059522845301751556983

NISHATI ZA OFISI

title_6866a377903ed21126601691751556983
title_6866a377904c210678463481751556983
title_6866a377905971233859871751556983 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com