Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Twawafu ya kuaga
Anae fanya haji akitaka kutoka Makka atafanya Twawaafu ya kuaga, nayo ni wajibu miongoni mwa wajibu za Hija, na hafanyi sai na hupomoka Twawafu ya kuaga kwa mwanamke menye Hedhi na Nifasi

Kuichelewasha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya Kuaga
Lau mwenye kufanya hija ataichelewesha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya kuaga yafaa kufanya hivyo lakini si bora kufanya hivyo, na itamtosheleza Twawafu ya ifaadha kwa sharti atie nia ya Ifaadha itamtosheleza na Twawafu ya kuaga hata kama atafanya sai baada yake.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785525
TodayToday526
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9933eb54b314911804091755943742
title_68a9933eb55984685026231755943742
title_68a9933eb567916463037131755943742

NISHATI ZA OFISI

title_68a9933eb6c5e11819145831755943742
title_68a9933eb6d483360797401755943742
title_68a9933eb6e26423695071755943742 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com