Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Twawafu ya kuaga
Anae fanya haji akitaka kutoka Makka atafanya Twawaafu ya kuaga, nayo ni wajibu miongoni mwa wajibu za Hija, na hafanyi sai na hupomoka Twawafu ya kuaga kwa mwanamke menye Hedhi na Nifasi

Kuichelewasha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya Kuaga
Lau mwenye kufanya hija ataichelewesha Twawafu ya Ifaadha mpaka kwenye Twawafu ya kuaga yafaa kufanya hivyo lakini si bora kufanya hivyo, na itamtosheleza Twawafu ya ifaadha kwa sharti atie nia ya Ifaadha itamtosheleza na Twawafu ya kuaga hata kama atafanya sai baada yake.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6573433
TodayToday1500
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 36

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68288e790512a3612422601747488377
title_68288e79052108846642661747488377
title_68288e79052ed7914277511747488377

NISHATI ZA OFISI

title_68288e791270a18930440401747488377
title_68288e791283e21241198101747488377
title_68288e791296a15261746601747488377 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com