Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Masiku ya Tashriiq
Ni siku tatu, siku ya kumi na moja na siku ya kumi nambili na siku ya kumi na tatu katika Mwezi wa Mfungotatu zimeitwa kwa jina hilo kwa sababu nyama za Udh’hiya zikikatwakatwa na kuanikwa juani ili zikauke na Mtume ﷺ Alisema kuhusu masiku haya

 

أَلاَ وَإِنَّ هَذِهِ الأَيَّامَ أَيَّامُ أَكْلٍ وَشُرْبٍ وَذِكْرِ اللهِ عَزَّ وَجَلَّ]    رواه أبوداود]

 

[Jueni ya kuwa masiku haya ni masiku ya kula nakunywa na kumtaja Mwenyezi Mungu]    [Imepokewa na Abuu Daud]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887005
TodayToday138
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 67

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7ed1df6cd6182717251782283985
title_6a3b7ed1ee5bd16016484871782283985
title_6a3b7ed1ee64321114870781782283985

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7ed1eef979831487051782283985
title_6a3b7ed1eeff716445850431782283985
title_6a3b7ed1ef05315995796921782283985 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com