Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Masiku ya Tashriiq
Ni siku tatu, siku ya kumi na moja na siku ya kumi nambili na siku ya kumi na tatu katika Mwezi wa Mfungotatu zimeitwa kwa jina hilo kwa sababu nyama za Udh’hiya zikikatwakatwa na kuanikwa juani ili zikauke na Mtume ﷺ Alisema kuhusu masiku haya

 

أَلاَ وَإِنَّ هَذِهِ الأَيَّامَ أَيَّامُ أَكْلٍ وَشُرْبٍ وَذِكْرِ اللهِ عَزَّ وَجَلَّ]    رواه أبوداود]

 

[Jueni ya kuwa masiku haya ni masiku ya kula nakunywa na kumtaja Mwenyezi Mungu]    [Imepokewa na Abuu Daud]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7692829
TodayToday2618
Highest 04-29-2026 : 10648
US
Guests 90

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f4615f520029492223491777623391
title_69f4615f5205114344994961777623391
title_69f4615f5209d6032629501777623391

NISHATI ZA OFISI

title_69f4615f5262069878541777623391
title_69f4615f5266d14975434681777623391
title_69f4615f526b85310620901777623391 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com