Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Masiku ya Tashriiq
Ni siku tatu, siku ya kumi na moja na siku ya kumi nambili na siku ya kumi na tatu katika Mwezi wa Mfungotatu zimeitwa kwa jina hilo kwa sababu nyama za Udh’hiya zikikatwakatwa na kuanikwa juani ili zikauke na Mtume ﷺ Alisema kuhusu masiku haya

 

أَلاَ وَإِنَّ هَذِهِ الأَيَّامَ أَيَّامُ أَكْلٍ وَشُرْبٍ وَذِكْرِ اللهِ عَزَّ وَجَلَّ]    رواه أبوداود]

 

[Jueni ya kuwa masiku haya ni masiku ya kula nakunywa na kumtaja Mwenyezi Mungu]    [Imepokewa na Abuu Daud]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668103
TodayToday791
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 10

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866aa965ef286687555271751558806
title_6866aa965f01411953476311751558806
title_6866aa965f0f87669830011751558806

NISHATI ZA OFISI

title_6866aa966072c22467021751558806
title_6866aa96608131466489191751558806
title_6866aa966090412634554341751558806 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com