Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Masiku ya Tashriiq
Ni siku tatu, siku ya kumi na moja na siku ya kumi nambili na siku ya kumi na tatu katika Mwezi wa Mfungotatu zimeitwa kwa jina hilo kwa sababu nyama za Udh’hiya zikikatwakatwa na kuanikwa juani ili zikauke na Mtume ﷺ Alisema kuhusu masiku haya

 

أَلاَ وَإِنَّ هَذِهِ الأَيَّامَ أَيَّامُ أَكْلٍ وَشُرْبٍ وَذِكْرِ اللهِ عَزَّ وَجَلَّ]    رواه أبوداود]

 

[Jueni ya kuwa masiku haya ni masiku ya kula nakunywa na kumtaja Mwenyezi Mungu]    [Imepokewa na Abuu Daud]


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785529
TodayToday530
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9933eb54b314911804091755943742
title_68a9933eb55984685026231755943742
title_68a9933eb567916463037131755943742

NISHATI ZA OFISI

title_68a9933eb6c5e11819145831755943742
title_68a9933eb6d483360797401755943742
title_68a9933eb6e26423695071755943742 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com