Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


Maelekezo
Muislamu ajiepushe na kuwaudhi ndugu zake Mahujaji wakati wa kutupa vijiwe jamaraat, nawakati wakufanya ibada nyinginezo za hija.

Ahakikishe kuwa kijiwa kimeingie kwenye ndani ya birika, baadhi ya watu wanakosea wakidhani kuwa unapo rusha kijiwe ni kulenga kiguzo na kijiwe kisingie kwenye birika, na baadhi hutupa kijiwa akiwa mbali na birika na kijiwe kisingie kwenye birika basi mwenye kutupa namna hiyo huwa hakutekeleza wajibu wa kutupa.

- Na ni juu ya Muislamu asivuke mipaka katika kurusha vijiwe asitupe jiwe kubwa au kurusha viatu, sunna ni kijiwe kiwe kikubwa kidogo kuliko dengu kwa Hadithi ya Jaabir bin Abdillah Radhi za Allah zimfikie yeye Nakasema:

رَأَيْتُ النَّبِيَّ صَلَّى اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ رَمَى الْجَمْرَةَ بِمِثْلِ حَصَى الْخَذْفِ]    رواه مسلم]

 

[Nimemuona Mtume ﷺ Akilitupia jamara kwa kijiwe kidogo mfano wa koko ya tende]        [ Imepokewa na Muslim.]

Na vjiwe vyakutupa ni vidogo atavishika kwa vidole viwili na kutupa].

- Na akitupa vijiwe vyote kwa mara moja hahisabiwi ila kijiwe kimoja, na lau ataviweka kwenye kitu avirushe vyote kwa pamoja haitasihi bali ni lazima kupatikane kurusha.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785516
TodayToday517
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98fb749eac19585245311755942839
title_68a98fb749fa912203850161755942839
title_68a98fb74a09319110417461755942839

NISHATI ZA OFISI

title_68a98fb74d9605821471001755942839
title_68a98fb74da5c17044642991755942839
title_68a98fb74db3b13656295111755942839 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com