Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


1. Haji atakapofika muzdalifa atanza na Swala ataswali Maghrib na Ishaa kwa kuzikusanya na kupunguza Swala ya isha, kabla kuteremsha mizigo na vitu vyake.

2. Nilazima kulala Muzdalifa usiku wake na ataswali Alfajiri mapema, na haifai kuondoka muzdalifa kabla ya Alfajiri ila kwa wenye udhuru, kama watu madhaifu katika wanawake, na watoto na kwa wale wanaofuatana nawao, ambao wanawatumikia wao yafaa kuodoka nawao mwisho wa usiku Mwezi unapo zama.

3. Anapo maliza kuswali Alfajiri inapendekezwa kwa mahujaji aende kwenye Mash’aril haram, na aeleke kibla na azidishe dhikri na Dua hali yakuwa ameinuwa mikono yake na ataendelea kufanya hivyo mpaka kupambazuke sana, na sehemu yoyote atakapo simama Muzdalifa yafaa, kwa neno lake Mtume ﷺ:

 

وقفت هاهنا وجمع كلها موقف]   رواه مسلم]

 

[Nimesimama hapa na jam’u yote ni mahali pakisimamo]   [Imepokewa na Muslim]

na makusuduio ya Jam’u ni Muzdalifa.

4. Anapoondoka haaji kutoka muzdalifa inapendekezwa aokote vijiwe saba pekeyake kwa ajili yakutupa kwenye jamaraat, ama masiku yalio baki ataokota vijiwe mina au sehemu yoyote atakapo okota yafaa


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668628
TodayToday293
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 697

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f18c353739816489664661777437749
title_69f18c35373ea562318681777437749
title_69f18c353743719100316991777437749

NISHATI ZA OFISI

title_69f18c3537a5516733723181777437749
title_69f18c3537aa518372256931777437749
title_69f18c3537af211292484911777437749 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com