Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


1. Haji atakapofika muzdalifa atanza na Swala ataswali Maghrib na Ishaa kwa kuzikusanya na kupunguza Swala ya isha, kabla kuteremsha mizigo na vitu vyake.

2. Nilazima kulala Muzdalifa usiku wake na ataswali Alfajiri mapema, na haifai kuondoka muzdalifa kabla ya Alfajiri ila kwa wenye udhuru, kama watu madhaifu katika wanawake, na watoto na kwa wale wanaofuatana nawao, ambao wanawatumikia wao yafaa kuodoka nawao mwisho wa usiku Mwezi unapo zama.

3. Anapo maliza kuswali Alfajiri inapendekezwa kwa mahujaji aende kwenye Mash’aril haram, na aeleke kibla na azidishe dhikri na Dua hali yakuwa ameinuwa mikono yake na ataendelea kufanya hivyo mpaka kupambazuke sana, na sehemu yoyote atakapo simama Muzdalifa yafaa, kwa neno lake Mtume ﷺ:

 

وقفت هاهنا وجمع كلها موقف]   رواه مسلم]

 

[Nimesimama hapa na jam’u yote ni mahali pakisimamo]   [Imepokewa na Muslim]

na makusuduio ya Jam’u ni Muzdalifa.

4. Anapoondoka haaji kutoka muzdalifa inapendekezwa aokote vijiwe saba pekeyake kwa ajili yakutupa kwenye jamaraat, ama masiku yalio baki ataokota vijiwe mina au sehemu yoyote atakapo okota yafaa


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668088
TodayToday776
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 8

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866aa965ef286687555271751558806
title_6866aa965f01411953476311751558806
title_6866aa965f0f87669830011751558806

NISHATI ZA OFISI

title_6866aa966072c22467021751558806
title_6866aa96608131466489191751558806
title_6866aa966090412634554341751558806 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com