Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


1. Haji atakapofika muzdalifa atanza na Swala ataswali Maghrib na Ishaa kwa kuzikusanya na kupunguza Swala ya isha, kabla kuteremsha mizigo na vitu vyake.

2. Nilazima kulala Muzdalifa usiku wake na ataswali Alfajiri mapema, na haifai kuondoka muzdalifa kabla ya Alfajiri ila kwa wenye udhuru, kama watu madhaifu katika wanawake, na watoto na kwa wale wanaofuatana nawao, ambao wanawatumikia wao yafaa kuodoka nawao mwisho wa usiku Mwezi unapo zama.

3. Anapo maliza kuswali Alfajiri inapendekezwa kwa mahujaji aende kwenye Mash’aril haram, na aeleke kibla na azidishe dhikri na Dua hali yakuwa ameinuwa mikono yake na ataendelea kufanya hivyo mpaka kupambazuke sana, na sehemu yoyote atakapo simama Muzdalifa yafaa, kwa neno lake Mtume ﷺ:

 

وقفت هاهنا وجمع كلها موقف]   رواه مسلم]

 

[Nimesimama hapa na jam’u yote ni mahali pakisimamo]   [Imepokewa na Muslim]

na makusuduio ya Jam’u ni Muzdalifa.

4. Anapoondoka haaji kutoka muzdalifa inapendekezwa aokote vijiwe saba pekeyake kwa ajili yakutupa kwenye jamaraat, ama masiku yalio baki ataokota vijiwe mina au sehemu yoyote atakapo okota yafaa


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785753
TodayToday754
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 13

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9c2220ee9d13576810791755955746
title_68a9c2220ef8623860071755955746
title_68a9c2220f06a3776423631755955746

NISHATI ZA OFISI

title_68a9c222105b620701382111755955746
title_68a9c222106981637701741755955746
title_68a9c2221077510907374491755955746 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com