Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Tafauti ilioko kati ya Aina Tatu ya Ibada ya hija

Tamattu Qiraan Ifraad
Anahirimia mara mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘Umra kisha atahalalika baada ya hapo, kisha anahirimia kwa ajili ya Hijja Atahirim hijja na umra kwa pamoja Atahirimia hija mara moja pekeyake
Anapohirimia kwa ajili ya Hijja anasema: “Nimekuitikia ewe Mola wangu Hijja” au anasema: “Nimekuitikia ewe Mola wangu ‘Umra na nitapumzika kwayo hadi Hijja” Atasema wakati wa kuhirimia (Naitikikia umra na hijja) Atasema wakati wa kuhirimia (Naitikia hijja)
Inawajibika kuchinja Inawajibika kuchinja Hawajibiki kuchinja
Kuna twawafu mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘Umra na ya pili kwa ajili ya Hijja Inalazimu twawafu moja nayo ni twawafu ya hajji Inalazimu twawafu moja nayo ni twawafu ya hajji
Kuna sai’ mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘umra na ya pili kwa ajili ya Hijja Ina sai moja peke nayo ni sai ya hijja Ina sai moja peke nayo ni sai ya hijja

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785521
TodayToday522
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 27

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98fb749eac19585245311755942839
title_68a98fb749fa912203850161755942839
title_68a98fb74a09319110417461755942839

NISHATI ZA OFISI

title_68a98fb74d9605821471001755942839
title_68a98fb74da5c17044642991755942839
title_68a98fb74db3b13656295111755942839 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com