Menu

SOMO LA FIQHI


 somo lafiqhi


Tafauti ilioko kati ya Aina Tatu ya Ibada ya hija

Tamattu Qiraan Ifraad
Anahirimia mara mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘Umra kisha atahalalika baada ya hapo, kisha anahirimia kwa ajili ya Hijja Atahirim hijja na umra kwa pamoja Atahirimia hija mara moja pekeyake
Anapohirimia kwa ajili ya Hijja anasema: “Nimekuitikia ewe Mola wangu Hijja” au anasema: “Nimekuitikia ewe Mola wangu ‘Umra na nitapumzika kwayo hadi Hijja” Atasema wakati wa kuhirimia (Naitikikia umra na hijja) Atasema wakati wa kuhirimia (Naitikia hijja)
Inawajibika kuchinja Inawajibika kuchinja Hawajibiki kuchinja
Kuna twawafu mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘Umra na ya pili kwa ajili ya Hijja Inalazimu twawafu moja nayo ni twawafu ya hajji Inalazimu twawafu moja nayo ni twawafu ya hajji
Kuna sai’ mbili, ya kwanza kwa ajili ya ‘umra na ya pili kwa ajili ya Hijja Ina sai moja peke nayo ni sai ya hijja Ina sai moja peke nayo ni sai ya hijja

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668054
TodayToday742
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 16

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68669fa61b9784948877771751556006
title_68669fa61ba5e5169141801751556006
title_68669fa61bb461234970901751556006

NISHATI ZA OFISI

title_68669fa61d0cd8878783401751556006
title_68669fa61d1a53917590831751556006
title_68669fa61d27c19955603421751556006 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com