Menu

SOMO LA FIQHI


somo lafiqhi


AINA ZA IBADA YA HIJA 

Aina za ibada ya Hija ni Aina Tatu:

1. Tamattu:
Nayo ni ahirimie Umra katika miezi ya Hijja mpaka amalize na ajitoe kwenye ihramu yake, kisha katika mwaka huohuo ahirimie Hija.

Na mwenye kufanya tamattu’ anapo fika makka atafanya amali ya Umra nayo: Nikutufu, na kufanya sai kati ya Swafaa na marwa, na kunyoa au kupunguza, kisha atajitoa kwenye ihramu yake na avae nguo zake, ikifika tarehe nane mwezi wa mfungotatu, atahirimia hija kisha atafanya amali za hijja na atawajibika kuchinja kwa kupumzika kwake

2. Qiraan:
Nayo ni ahirimie Hijja na Umra kwa pamoja., au ahirimie Umra kisha anuilie kufanya hija kabla ya kuanza kufanya tawafu, na mwenye kufanya Qiraan atabaki kwenye ihramu yake mpaka amalize kufanya hija, na atalazimika kuchinja kwa kule kuhirimia pamoja kwa amali ya hija na umra.

3. Ifraad:
Nayo ahirimie Hijja peke yake.na mwenye kufanya ifraadi atabaki na ihramu zake mpaka amalize kuhuji na hatolazimika kuchinja.

Na nusuk bora katika hizo tatu ni tamattu kwa sababu Mtume ﷺ Aliwaamrisha maswahaba zake wafanye tamattu  [Kwa hadithi iliyopokewa na Aisha Radhi za Allah ziwe juu yake iliyoko kwenye Sahihi ya Muslim.] Kisha ni Qiraan kisha ni Ifraad


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785729
TodayToday730
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 15

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9be6c8cd2714611700311755954796
title_68a9be6c8ce1f250846371755954796
title_68a9be6c8cf0f10404871861755954796

NISHATI ZA OFISI

title_68a9be6c8e53f2430330581755954796
title_68a9be6c8e62218446405151755954796
title_68a9be6c8e70316621682481755954796 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com