Menu

 

 

NI LAZIMA APATIKANE SHAHIDI KWA ANAETAKA KUSILIMU?

 

SUALI: Je? Mtu anapotaka kusilimu huwa ni lazima ashuhudishe watu ?

JAWABU: Si lazima kwa mtu anapotaka kusilimu kuweka mashahidi juu ya kusilimu kwake,kwani mtu kusilimu huwa ni mafungamano kati ya mja na mola wake. Kwa hivyo huwa si lazima kushuhudisha watu. Na mwenyewe ataka kufanya hivyo kwa ajili ya kubadilisha stakabdhi zake hakuna ubaya wa kufanya hivyo.

 

Na Allah ndie Mjuzi zaidi.

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031726
TodayToday809
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 142

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d80df7a18511280929971787658463
title_6a8d80df7a1d618414334921787658463
title_6a8d80df7a2231026953491787658463

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d80df7a86711696925221787658463
title_6a8d80df7a8b613760153351787658463
title_6a8d80df7a8ed13024095431787658463 Add content here

HUDUMA MPYA

: 2 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com