Menu

 

 

NI LAZIMA APATIKANE SHAHIDI KWA ANAETAKA KUSILIMU?

 

SUALI: Je? Mtu anapotaka kusilimu huwa ni lazima ashuhudishe watu ?

JAWABU: Si lazima kwa mtu anapotaka kusilimu kuweka mashahidi juu ya kusilimu kwake,kwani mtu kusilimu huwa ni mafungamano kati ya mja na mola wake. Kwa hivyo huwa si lazima kushuhudisha watu. Na mwenyewe ataka kufanya hivyo kwa ajili ya kubadilisha stakabdhi zake hakuna ubaya wa kufanya hivyo.

 

Na Allah ndie Mjuzi zaidi.

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887310
TodayToday443
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 138

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3bc2527a9c316552659681782301266
title_6a3bc2527aa13810246041782301266
title_6a3bc2527aa5f10871392691782301266

NISHATI ZA OFISI

title_6a3bc2527b27411375380881782301266
title_6a3bc2527b2d321392366111782301266
title_6a3bc2527b3316585920541782301266 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 8 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com