Menu

 

 

NI LAZIMA APATIKANE SHAHIDI KWA ANAETAKA KUSILIMU?

 

SUALI: Je? Mtu anapotaka kusilimu huwa ni lazima ashuhudishe watu ?

JAWABU: Si lazima kwa mtu anapotaka kusilimu kuweka mashahidi juu ya kusilimu kwake,kwani mtu kusilimu huwa ni mafungamano kati ya mja na mola wake. Kwa hivyo huwa si lazima kushuhudisha watu. Na mwenyewe ataka kufanya hivyo kwa ajili ya kubadilisha stakabdhi zake hakuna ubaya wa kufanya hivyo.

 

Na Allah ndie Mjuzi zaidi.

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6707887
TodayToday819
Highest 07-09-2025 : 5269
US
Guests 19

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_687bd0e57edae20452611991752944869
title_687bd0e57ee9316972159101752944869
title_687bd0e57ef7d19213863831752944869

NISHATI ZA OFISI

title_687bd0e5805722157948741752944869
title_687bd0e58063313960290771752944869
title_687bd0e58070d14363472521752944869 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com