Menu

 

 

NI LAZIMA APATIKANE SHAHIDI KWA ANAETAKA KUSILIMU?

 

SUALI: Je? Mtu anapotaka kusilimu huwa ni lazima ashuhudishe watu ?

JAWABU: Si lazima kwa mtu anapotaka kusilimu kuweka mashahidi juu ya kusilimu kwake,kwani mtu kusilimu huwa ni mafungamano kati ya mja na mola wake. Kwa hivyo huwa si lazima kushuhudisha watu. Na mwenyewe ataka kufanya hivyo kwa ajili ya kubadilisha stakabdhi zake hakuna ubaya wa kufanya hivyo.

 

Na Allah ndie Mjuzi zaidi.

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7669220
TodayToday885
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 214

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f19bd63804a2048753911777441750
title_69f19bd6380ae7940143241777441750
title_69f19bd63810a6982205231777441750

NISHATI ZA OFISI

title_69f19bd64e52e8508956561777441750
title_69f19bd64e58f21244491371777441750
title_69f19bd64e5eb7481443661777441750 Add content here

HUDUMA MPYA

: 8 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com