Menu

HUKMU YA KUVUTA SHISHA

 

SUALI: Ni ipi hukmu ya kuvuta shisha?

 

JAWABU: Kuvuta shisha ni haramu kama vile kuvuta sigara, kwa kupatikana madhara mengi,kwanza kujidhuru katika nafsi yake,na kwa kupoteza mali yake,na kwa kuwadhuru wenzake. Sharia yetu imekuja kuharamisha kila baya na lenye na madhara.

Mwenyezi Mungu anasema kuhusu hikma ya kumtumiliza Mtume:

 

وَيُحِلُّ لَهُمُ الطَّيِّبَاتِ وَيُحَرِّمُ عَلَيْهِمُ الْخَبَائِثَ}    الأعراف:157}

 

"Na anawahalalishia vizuri, na ana waharimishia viovu."     [Al-A'araaf:157]

Na imethubutu kiilimu kuwa uvutaji wa shisha na sigara,kunasababisha maradhi mabaya yenye kuamgamiza, na Mwenyezi mungu amesema:

وَلَا تَقْتُلُوا أَنفُسَكُمْ ۚ إِنَّ اللَّهَ كَانَ بِكُمْ رَحِيمًا}       النساء:29}

 

"Wala msijiuwe. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuwarehemuni.       [Al-Nnisaa:29

Na yoyote mwenye kutumia uraibu huo huhesabiwa amejidhulumu nafsi yake,na kuwadhuru wanao kaa karibu na yeye. Kwa hivyo uvutaji wa sigara na shisha ni katika madhambi makubwa ni lazima kwa anae tumia uraibu huu uraibu afanye bidii kuwacha na kutubia kwa Mwenzi Mungu, na kumuomba Allah amsaidie kuweza kuwacha.
Na bila shaka uvutaji wa sigara ni katika mitihani mikubwa ilio wakumba waislamu. Kiasi ya kuwa asilimia kubwa katika waislamu hutumia sigara na kuonekana ni jambo la kawaida.

Na allah ndie mjuzi zaidi.

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

8031725
TodayToday808
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 118

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d80c2f329d18200126101787658434
title_6a8d80c2f32ee17418202081787658434
title_6a8d80c2f333a15798684311787658434

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d80c2f3978438596051787658434
title_6a8d80c2f39c52784385891787658434
title_6a8d80c2f3a1118382332921787658434 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com