Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


MAKHTUUM 


Hawa ndio watu katika kundi ambalo linajulikana katika historia ya Uislamu kuwa ndio Waislamu wa mwanzo, wakiongozwa na mke wa Mtume ﷺ, mama wa waumini Bi Khadija binti Khuwailid,

kijana wake Zaid bin Haritha bin Sharahbiyl AI-Kafuy,

mtoto wa ammi yake Ali bin Abi Twalib, wakati huo akiwa bado mtoto mdogo akiishi katika ulezi wa Mtume ﷺ ,

na rafiki yake mpenzi Abubakar (r.a). Hawa walisilimu katika siku ya kwanza ya Da'wa kwa watu katika Dini.

Kwa hivyo wa Kwanza Aliesilimu katika wanaume ni Abubakar Swiddiq (r.a)

na katika Wanawake ni Bibi Khadija bint Khuwailid (r.a).

na katika watoto ni Ali bin Abi Twalib (r.a).

na katika vijakazi ni Zaid bin Harith (r.a).


* Ar-Raheeq Al Makhtum 119


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785133
TodayToday134
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 18

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 6 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com