Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


MAKHTUUM 


Hawa ndio watu katika kundi ambalo linajulikana katika historia ya Uislamu kuwa ndio Waislamu wa mwanzo, wakiongozwa na mke wa Mtume ﷺ, mama wa waumini Bi Khadija binti Khuwailid,

kijana wake Zaid bin Haritha bin Sharahbiyl AI-Kafuy,

mtoto wa ammi yake Ali bin Abi Twalib, wakati huo akiwa bado mtoto mdogo akiishi katika ulezi wa Mtume ﷺ ,

na rafiki yake mpenzi Abubakar (r.a). Hawa walisilimu katika siku ya kwanza ya Da'wa kwa watu katika Dini.

Kwa hivyo wa Kwanza Aliesilimu katika wanaume ni Abubakar Swiddiq (r.a)

na katika Wanawake ni Bibi Khadija bint Khuwailid (r.a).

na katika watoto ni Ali bin Abi Twalib (r.a).

na katika vijakazi ni Zaid bin Harith (r.a).


* Ar-Raheeq Al Makhtum 119


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668187
TodayToday7950
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 261

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e49b104914770501991777434185
title_69f17e49b109911945962141777434185
title_69f17e49b10e54346619331777434185

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e49b16c814148443711777434185
title_69f17e49b171618749253471777434185
title_69f17e49b17614857793211777434185 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 10 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com