Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


MAKHTUUM 


Hawa ndio watu katika kundi ambalo linajulikana katika historia ya Uislamu kuwa ndio Waislamu wa mwanzo, wakiongozwa na mke wa Mtume ﷺ, mama wa waumini Bi Khadija binti Khuwailid,

kijana wake Zaid bin Haritha bin Sharahbiyl AI-Kafuy,

mtoto wa ammi yake Ali bin Abi Twalib, wakati huo akiwa bado mtoto mdogo akiishi katika ulezi wa Mtume ﷺ ,

na rafiki yake mpenzi Abubakar (r.a). Hawa walisilimu katika siku ya kwanza ya Da'wa kwa watu katika Dini.

Kwa hivyo wa Kwanza Aliesilimu katika wanaume ni Abubakar Swiddiq (r.a)

na katika Wanawake ni Bibi Khadija bint Khuwailid (r.a).

na katika watoto ni Ali bin Abi Twalib (r.a).

na katika vijakazi ni Zaid bin Harith (r.a).


* Ar-Raheeq Al Makhtum 119


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887138
TodayToday271
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 45

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba1003af9a20967564831782292736
title_6a3ba1003afe910119730191782292736
title_6a3ba1003b00c12017209311782292736

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba1003b5964524317211782292736
title_6a3ba1003b5e36132369291782292736
title_6a3ba1003b62e3663054341782292736 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 13 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com