Menu

AR-RAHEEQ AL-MAKHTUM


MAKHTUUM 


Hawa ndio watu katika kundi ambalo linajulikana katika historia ya Uislamu kuwa ndio Waislamu wa mwanzo, wakiongozwa na mke wa Mtume ﷺ, mama wa waumini Bi Khadija binti Khuwailid,

kijana wake Zaid bin Haritha bin Sharahbiyl AI-Kafuy,

mtoto wa ammi yake Ali bin Abi Twalib, wakati huo akiwa bado mtoto mdogo akiishi katika ulezi wa Mtume ﷺ ,

na rafiki yake mpenzi Abubakar (r.a). Hawa walisilimu katika siku ya kwanza ya Da'wa kwa watu katika Dini.

Kwa hivyo wa Kwanza Aliesilimu katika wanaume ni Abubakar Swiddiq (r.a)

na katika Wanawake ni Bibi Khadija bint Khuwailid (r.a).

na katika watoto ni Ali bin Abi Twalib (r.a).

na katika vijakazi ni Zaid bin Harith (r.a).


* Ar-Raheeq Al Makhtum 119


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668016
TodayToday704
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 29

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_686694ca9b75916565373161751553226
title_686694ca9b83a8671383051751553226
title_686694ca9b91010505901751553226

NISHATI ZA OFISI

title_686694ca9ceca14034352851751553226
title_686694ca9cfa68478615741751553226
title_686694ca9d07e15764738281751553226 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 1 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com