Menu

KIPINDI CHA KUKATIKA KWA WAHYI


938


Ibni Saad amepokea kutoka kwa 'lbn Abbas maneno yaliyohusu "kukatika kwa Wahyi ambayo' kimsingi yanafahamisha kuwa kipindi hicho kilikuwa ni cha siku nyingi.  Baada ya uchunguzi wa kina imeonekana kuwa maelezo haya ndiyo yenye nguvu. 

Ama yale ambayo yametangaa miongoni mwa watu kuwa ukatikaji wa wahyi uliendelea kwa muda wote wa miaka mitatu au miaka miwili na nusu si kauli sahihi kwa hali zote, lakini hapa hatutoeleza suala hilo. 

Siku za kukatika kwa Wahyi zilikuwa ni za huzuni kubwa kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu , zikiambatana na mastaajabu na mfadhaiko.*


*Arraheeq Al Makhtum Uk 107


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887141
TodayToday274
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 39

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba1cedc5ad1581965281782292942
title_6a3ba1cedc5fc16739325601782292942
title_6a3ba1cedc64b15392311951782292942

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba1cedcbe913386000701782292942
title_6a3ba1cedcc377640240121782292942
title_6a3ba1cedcc8212724256711782292942 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com