Menu

KIPINDI CHA KUKATIKA KWA WAHYI


938


Ibni Saad amepokea kutoka kwa 'lbn Abbas maneno yaliyohusu "kukatika kwa Wahyi ambayo' kimsingi yanafahamisha kuwa kipindi hicho kilikuwa ni cha siku nyingi.  Baada ya uchunguzi wa kina imeonekana kuwa maelezo haya ndiyo yenye nguvu. 

Ama yale ambayo yametangaa miongoni mwa watu kuwa ukatikaji wa wahyi uliendelea kwa muda wote wa miaka mitatu au miaka miwili na nusu si kauli sahihi kwa hali zote, lakini hapa hatutoeleza suala hilo. 

Siku za kukatika kwa Wahyi zilikuwa ni za huzuni kubwa kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu , zikiambatana na mastaajabu na mfadhaiko.*


*Arraheeq Al Makhtum Uk 107


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668034
TodayToday722
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 21

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68669867761436184925161751554151
title_686698677622d16483867111751554151
title_686698677630d11008458791751554151

NISHATI ZA OFISI

title_68669867778e020131186481751554151
title_68669867779c8539681181751554151
title_6866986777aa45221158701751554151 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 12 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com