Menu

KIPINDI CHA KUKATIKA KWA WAHYI


938


Ibni Saad amepokea kutoka kwa 'lbn Abbas maneno yaliyohusu "kukatika kwa Wahyi ambayo' kimsingi yanafahamisha kuwa kipindi hicho kilikuwa ni cha siku nyingi.  Baada ya uchunguzi wa kina imeonekana kuwa maelezo haya ndiyo yenye nguvu. 

Ama yale ambayo yametangaa miongoni mwa watu kuwa ukatikaji wa wahyi uliendelea kwa muda wote wa miaka mitatu au miaka miwili na nusu si kauli sahihi kwa hali zote, lakini hapa hatutoeleza suala hilo. 

Siku za kukatika kwa Wahyi zilikuwa ni za huzuni kubwa kwa Mjumbe wa Mwenyezi Mungu , zikiambatana na mastaajabu na mfadhaiko.*


*Arraheeq Al Makhtum Uk 107


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668195
TodayToday7958
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 265

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e6f3765a19414523461777434223
title_69f17e6f376bc19049109521777434223
title_69f17e6f3771a3313988711777434223

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e6f37e839401797921777434223
title_69f17e6f37edf4600354931777434223
title_69f17e6f37f3e17244216051777434223 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com