Menu

SAFARI YA KWENDA SHAM KWA AJILI YA BIASHARA


إلى أين كانت رحلة الشتاء والصيف


Alipofikisha umri wa miaka ishirini na tano, alitoka kuelekea Sham kwa madhumuni ya kufanya biashara katika mali ya Bi Khadija (r.a). Ibn Ishaq anasema: 'Bi khadija binti Khuwaylid alikuwa ni mwanamke mfanyabiashara mtukufu, aliyekuwa na mali nyingi, alikuwa akiwakodisha wanaume kutoka katika mali yake, alikuwa akiwapa mali yake waifanyie biashara kwa kuwapa kitu kutoka katika faida itakayopatikana. Shughuli kubwa za Makuraishi wakati huo ilikuwa ni kufanya biashara.


Bi Khadija alipopata khabari za Mjumbe wa Mwenyezi Mungu , kuhusu tabia ya ukweli katika mazungumzo yake, wingi wa uaminifu wake na ubora wa tabia zake,alipeleka ujumbe kwake akimuomba atoke na mali yake kuelekea Syria kwa madhumuni ya kufanya biashara na kwamba atampa malipo bora kabisa zaidi ya vile anavyofanya kwa wafanya biashara wengine. Mjumbe wa Mwenyezi Mungu alilikubali wazo hilo, akatoka na mali za Bi Khadija kuelekea Syria, akifuatana na kijana wake Bi Khadija aitwae Maysara.(1)


1) Ibnu Hisham, Juzuu 1, Uk. 187-188

Ar-raheeq Al Makhtum. 92


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668207
TodayToday7970
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 307

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17edb066ce5168546961777434331
title_69f17edb0672015466602741777434331
title_69f17edb0676e17977874911777434331

NISHATI ZA OFISI

title_69f17edb06f242068174101777434331
title_69f17edb06f7420321786111777434331
title_69f17edb06fc16977238071777434331 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com