Menu

KUCHUNGA MBUZI ﷺ


09


Mtume alikuwa hana kazi maalumu mwanzoni mwa ujana wake, isipokuwa imepokelewa kuwa alikuwa akichunga mbuzi kwa Banu Saad na mbuzi wengine wa watu wa Makka kwa malipo maalumnu.(1)

Na Manabii wote waliwahi kuchunga mbuzi,Asema Mtume :

 

ما بعث الله نبياً إلا رعى الغنمَ] فقال أصحابهُ: وأنت؟ قال : [ نعم، كنت أرعاها على قراريط لأهلِ مكةَ] رواه البخاري]

 

[Mwenyezi Mungu hakutumiliza Mtume ila alichunga Mbuzi,] wakasema Maswahaba je na wewe? akasema [Ndio nilikuwa nikichunga mbuzi kwa vijipeni kwa watu Makka]  [Imepokewa na Bukhari]

Nawanazuoni wameelezea hikma ya Manabii kuchunga mbuzi,ili waweze kuwa na unyeyekevu,na kustahimili katika kuwachunga wanyama hawa kwa kuweza kuwatafutia lisho bora,na kumchunga alie dhaifu katika wanyama hao,ipate kuwa ni kama chanzo cha kuweza kutahimili na majuku atakapokuwa amepewa utume na kuongoza binaadamu.


1) Ibnu Hisham, uzuu 1, Uk. 187-188


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668181
TodayToday7944
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 255

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e1c98e1a4964320571777434140
title_69f17e1c98e6e18447748841777434140
title_69f17e1c98eda5070004481777434140

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e1c9957a18346377931777434140
title_69f17e1c995c82134653821777434140
title_69f17e1c996143282634471777434140 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com