Menu

KUCHUNGA MBUZI ﷺ


09


Mtume alikuwa hana kazi maalumu mwanzoni mwa ujana wake, isipokuwa imepokelewa kuwa alikuwa akichunga mbuzi kwa Banu Saad na mbuzi wengine wa watu wa Makka kwa malipo maalumnu.(1)

Na Manabii wote waliwahi kuchunga mbuzi,Asema Mtume :

 

ما بعث الله نبياً إلا رعى الغنمَ] فقال أصحابهُ: وأنت؟ قال : [ نعم، كنت أرعاها على قراريط لأهلِ مكةَ] رواه البخاري]

 

[Mwenyezi Mungu hakutumiliza Mtume ila alichunga Mbuzi,] wakasema Maswahaba je na wewe? akasema [Ndio nilikuwa nikichunga mbuzi kwa vijipeni kwa watu Makka]  [Imepokewa na Bukhari]

Nawanazuoni wameelezea hikma ya Manabii kuchunga mbuzi,ili waweze kuwa na unyeyekevu,na kustahimili katika kuwachunga wanyama hawa kwa kuweza kuwatafutia lisho bora,na kumchunga alie dhaifu katika wanyama hao,ipate kuwa ni kama chanzo cha kuweza kutahimili na majuku atakapokuwa amepewa utume na kuongoza binaadamu.


1) Ibnu Hisham, uzuu 1, Uk. 187-188


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785135
TodayToday136
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 24

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a952b9b751c6713458781755927225
title_68a952b9b760514911660261755927225
title_68a952b9b76f316474188071755927225

NISHATI ZA OFISI

title_68a952b9b8c8f15090971461755927225
title_68a952b9b8d7213283904381755927225
title_68a952b9b8e5b5790996361755927225 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com