Menu

VITA VYA AL-FIJAR 


2013 6 12 17 30 39 113


Wakati Mtume alipofikisha umri wa miaka kumi na mitano vilitokea vita vya Al-Fijar kati ya Makuraishi na wale waliokuwa pamoja nao miongoni mwa Kinana, na Qais 'Ailan. Kiongozi wa Makuraishi na Kinana alikuwa ni Harb Bin Umayya, kwa sababu ya cheo chake kwao, kwa umri na utukufu. Ushindi ulikuwa ni wa Qais dhidi ya Kinana, mpaka ilipofika katikati ya mchana ushindi ulikuwa ni wa Kinana dhidi ya Qais. Vita hivi viliitwa kwa jina la Al-Fijar, kwa sababu ya kuvunjwa kwa mambo matukufu ya Al-Haram na miezi mitukufu. Vita hivi vilihudhuriwa na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na alikuwa akikusanya mikuki na mishale ya maadui na kuwapa ammi zake waitumie." 1*


1) Arraheeq Al Makhtum 89

* Mukhmear Siratu Rrasul, Uk. 16. Ibn Hisham, Juzuu 1, Uk. 180-183.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668022
TodayToday710
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 13

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_686694ca9b75916565373161751553226
title_686694ca9b83a8671383051751553226
title_686694ca9b91010505901751553226

NISHATI ZA OFISI

title_686694ca9ceca14034352851751553226
title_686694ca9cfa68478615741751553226
title_686694ca9d07e15764738281751553226 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com