Menu

VITA VYA AL-FIJAR 


2013 6 12 17 30 39 113


Wakati Mtume alipofikisha umri wa miaka kumi na mitano vilitokea vita vya Al-Fijar kati ya Makuraishi na wale waliokuwa pamoja nao miongoni mwa Kinana, na Qais 'Ailan. Kiongozi wa Makuraishi na Kinana alikuwa ni Harb Bin Umayya, kwa sababu ya cheo chake kwao, kwa umri na utukufu. Ushindi ulikuwa ni wa Qais dhidi ya Kinana, mpaka ilipofika katikati ya mchana ushindi ulikuwa ni wa Kinana dhidi ya Qais. Vita hivi viliitwa kwa jina la Al-Fijar, kwa sababu ya kuvunjwa kwa mambo matukufu ya Al-Haram na miezi mitukufu. Vita hivi vilihudhuriwa na Mjumbe wa Mwenyezi Mungu na alikuwa akikusanya mikuki na mishale ya maadui na kuwapa ammi zake waitumie." 1*


1) Arraheeq Al Makhtum 89

* Mukhmear Siratu Rrasul, Uk. 16. Ibn Hisham, Juzuu 1, Uk. 180-183.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887007
TodayToday140
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 72

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7f26568bb14738235111782284070
title_6a3b7f265690b1603119521782284070
title_6a3b7f265695712708079871782284070

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7f2656f152197322071782284070
title_6a3b7f2656f638642438871782284070
title_6a3b7f2656fb09107207431782284070 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com