Menu

KULELEWA NA AMMI YAKE  ABUU TWALIB


 20050110123917



Alipofariki Babu yake Mtume, Abi Twalib alichukua jukumu la kumlea mtoto wa ndugu yake kwa njia iliyo kamilifu kabisa, alimkusanya pamoja na watoto wake, akamfadhilisha mbele yao, akampa ziada ya heshima na utukuzo, Aliendelea kwa muda wa miaka arubaini akimuhami na akimkunjulia himaya yake, akafanya urafiki na watu na akagombana nao kwa ajili yake. Kwa ufupi ni kuwa mahusiano ya ammi yake Abi Twalib na watu wengine yalikuwa ni mazuri pindi watu wale watakapokuwa na uhusiano mzuri na Muhammad .

 

KUOMBWA  MVUA KUPITIA  DHATI YAKE

Ibni Assakir amethibitisha kutoka kwa Jalhamah bin Urfata ambaye amesema; 'Nilifika Makka wakati watu wakiwa katika hali ya ukame, Makuraishi wakasema: 'Ewe Abi Twalib jangwa limekuwa na ukame, watu wamekuwa na njaa, njoo uombe mvua.' Akatoka Abi Twalib akiwa pamoja naye kijana, kana kwamba kijana huyo ni jua lilIkrfunikwa na mawingu, kikatanzuka kwake kiwingu chenye kheri, pembezoni mwake wapo vijana wadogo wadogoi Abi Twalib akamchukua, akauambatisha mgongo wake na Al-Ka'aba, akikandamiza kidole chake kwa yule kijana na hali yakuwa mbinguni hakuna kipande cha wingu, ghafla yakazuka mawingu kutoka huku na huko na ikanyesha mvua na ikamimina maji viungani. Kwenye hili ameashiria Abi Twalib wakati aliposema:

وأبيض يستسقى الغمام بوجهه ** ثِمال اليتامى عصمة للأرامل

يلوذ به الهلاك من آل هاشم ** فهم عنده في نعمة وفواضل


 *Arraheeq Al Makhtuum Uk. 88


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668195
TodayToday7958
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 265

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e6f7ee295557689181777434223
title_69f17e6f7ee9d18673184881777434223
title_69f17e6f7ef1819273913801777434223

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e6f7fafa6865000551777434223
title_69f17e6f7fb496406001061777434223
title_69f17e6f7fb9620014792681777434223 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com