Menu

KUFARIKI KWA BABU YAKE MTUME ﷺ


 385777304 2e8ec6066c z


Baada ya miaka minane na miezi miwili na siku kumi katika umri wake, Mtume ﷺ alifiwa na babu yake Abdul Muttwalib huko Makka. Kabla ya kufa kwake aliona ni bora akayarithisha malezi ya mjukuu wake kwa ammi yake Abi Twalib, ambaye ni ndugu wa baba mmoja na mama mmoja na baba yake *


* Arraheeq Al Makhtuum 86


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7887004
TodayToday137
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 55

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b7eaa4ccc0761992581782283946
title_6a3b7eaa4cd0f15817001711782283946
title_6a3b7eaa4cd5b1057189791782283946

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b7eaa5c03f9779958051782283946
title_6a3b7eaa5c08e4397016931782283946
title_6a3b7eaa5c0d911429999131782283946 Add content here

HUDUMA MPYA

: 7 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com