Menu

KUFARIKI KWA MAMA YAKE MWENYE HURUMA SANA


 2310829 max


Baada ya tukio hili, Halima alipata hofu juu ya maisha ya Mtume na akaamua kumrudisha kwa mama yake. Akawa chini ya uangalizi wa mama yake mpaka alipofikisha umri wa miaka sita

Katika kuadhimisha kumbukumbu ya mume wake aliyekufa Bi Amina aliamua kuzuru kaburi lake huko Yathrib, umbali wake unafikia kilometa mia tano.Akatoka Makka akiwa pamoja na mtoto wake yatima - Muhammad - na mtumishi wake Ummu Ayman, na msimamizi wake Abdul Muttwalib. Akakaa huko kwa muda wa mwezi mmoja kisha akaamua kurejea. Wakati wakiwa njiani kurejea Makka ghafla alipatwa na maradhi, maradhi yakamzidi na akafariki dunia huko Abwaa, kati ya Makka na Madina.*


* Arraheeq Al Makhtuum 85


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785153
TodayToday154
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 27

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a9565d092b215979554071755928157
title_68a9565d0939d18931487851755928157
title_68a9565d0947e15810292811755928157

NISHATI ZA OFISI

title_68a9565d0aa0c13985204911755928157
title_68a9565d0aaf010287619781755928157
title_68a9565d0abd22110572871755928157 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com