Menu

KUFARIKI KWA MAMA YAKE MWENYE HURUMA SANA


 2310829 max


Baada ya tukio hili, Halima alipata hofu juu ya maisha ya Mtume na akaamua kumrudisha kwa mama yake. Akawa chini ya uangalizi wa mama yake mpaka alipofikisha umri wa miaka sita

Katika kuadhimisha kumbukumbu ya mume wake aliyekufa Bi Amina aliamua kuzuru kaburi lake huko Yathrib, umbali wake unafikia kilometa mia tano.Akatoka Makka akiwa pamoja na mtoto wake yatima - Muhammad - na mtumishi wake Ummu Ayman, na msimamizi wake Abdul Muttwalib. Akakaa huko kwa muda wa mwezi mmoja kisha akaamua kurejea. Wakati wakiwa njiani kurejea Makka ghafla alipatwa na maradhi, maradhi yakamzidi na akafariki dunia huko Abwaa, kati ya Makka na Madina.*


* Arraheeq Al Makhtuum 85


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668080
TodayToday768
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 20

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866a7058e1cc1154110771751557893
title_6866a7058e31a11757074131751557893
title_6866a705a2776234613191751557893

NISHATI ZA OFISI

title_6866a705a278012156559701751557893
title_6866a705a28f66298690831751557893
title_6866a705a2a2e4313082671751557893 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 5 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com