Menu

KUFARIKI KWA MAMA YAKE MWENYE HURUMA SANA


 2310829 max


Baada ya tukio hili, Halima alipata hofu juu ya maisha ya Mtume na akaamua kumrudisha kwa mama yake. Akawa chini ya uangalizi wa mama yake mpaka alipofikisha umri wa miaka sita

Katika kuadhimisha kumbukumbu ya mume wake aliyekufa Bi Amina aliamua kuzuru kaburi lake huko Yathrib, umbali wake unafikia kilometa mia tano.Akatoka Makka akiwa pamoja na mtoto wake yatima - Muhammad - na mtumishi wake Ummu Ayman, na msimamizi wake Abdul Muttwalib. Akakaa huko kwa muda wa mwezi mmoja kisha akaamua kurejea. Wakati wakiwa njiani kurejea Makka ghafla alipatwa na maradhi, maradhi yakamzidi na akafariki dunia huko Abwaa, kati ya Makka na Madina.*


* Arraheeq Al Makhtuum 85


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668201
TodayToday7964
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 294

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e9b9955c4252761291777434267
title_69f17e9b995ac10641963931777434267
title_69f17e9b995f811338708791777434267

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e9bafbe03701518921777434267
title_69f17e9bafc484175712871777434267
title_69f17e9bafca56135735171777434267 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com