Menu

KUPASULIWA KIFUA CHA MTUME ﷺ


kupasuliwa1 


Imamu Muslim amepokea kutoka kwa Anas radhi za Mwenyezi Mungu ziwe juu kuwa

 

عن أنس بن مالك رضي الله تعالى عنه أن النبي صلى ‏الله عليه وسلم أتاه جبريل وهو يلعب مع الغلمان فأخذه فصرعه فشق عن قلبه فاستخرج ‏القلب فاستخرج منه علقة فقال: هذا حظ الشيطان منك ثم غسله في طست من ذهب ‏بماء زمزم ثم لأمه ثم أعاده في مكانه، وجاء الغلمان يسعون إلى أمه - يعني ظئيره- فقالوا إن ‏محمداً قد قتل. فاستقبلوه وهو منتقع اللون. قال أنس: أرى أثر المخيط في صدره

 

[jibril alimwendea Mjumbe wa Mwenyezi Mungu ﷺ hali ya kuwa anacheza pamoja na Watoto Wengine, akamchukua ma kumlaza chali, kisha akakipasua'kifua chake na akautoa moyo,katika huo moya akatoa pande la damu °na kusema: 'Hili ni fungu la shetarii kwako.' Kisha akauosha kutokakatika tasa la dhahabu kwa maji ya Zamzam, akaufunga na kuurudisha mahali pake.: wakatoka watoto wakiwa wanakwenda mbio kwa mama yake - mlezi wake - wakamwambia: 'Hakika Muhammad ameuwawa; mara akatokea, wakampokea na hali ya kuwa amebadilika rangi.

Asema Anas nikiona athari ya mshono katika kifua chake.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668017
TodayToday705
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 28

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_686694ca9b75916565373161751553226
title_686694ca9b83a8671383051751553226
title_686694ca9b91010505901751553226

NISHATI ZA OFISI

title_686694ca9ceca14034352851751553226
title_686694ca9cfa68478615741751553226
title_686694ca9d07e15764738281751553226 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com