Menu

KUNYONYESHWA KWA BWANA MTUME 


 kunyonya


Bwana Mtume  mara baada ya kuzaliwa alinyonyeshwa na mama yake Bi Amina Bint Wahab kwa siku kadhaa.

Kisha akanyonyeshwa na Bibi Thuwaybatul Aslamiyyah ambaye alikuwa ni mjakazi wa wa Ammi yake Mtume Abuu Lahab.Na huyu Thuwaybatu ndie pia aliemnyonyesha Hamza bin Abdul Muttalib.

Baada ya hapo ndipo waliamua kumtafutia mlezi na mnyonyeshaji kama ilivyokuwa ada na desturi ya Waarabu wakati huo.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668198
TodayToday7961
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 284

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e86afa817005847611777434246
title_69f17e86afad79325534611777434246
title_69f17e86afb1f754112691777434246

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e86b07e52201156981777434246
title_69f17e86b083420244854131777434246
title_69f17e86b087f16996512511777434246 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com