Menu

KUNYONYESHWA KWA BWANA MTUME 


 kunyonya


Bwana Mtume  mara baada ya kuzaliwa alinyonyeshwa na mama yake Bi Amina Bint Wahab kwa siku kadhaa.

Kisha akanyonyeshwa na Bibi Thuwaybatul Aslamiyyah ambaye alikuwa ni mjakazi wa wa Ammi yake Mtume Abuu Lahab.Na huyu Thuwaybatu ndie pia aliemnyonyesha Hamza bin Abdul Muttalib.

Baada ya hapo ndipo waliamua kumtafutia mlezi na mnyonyeshaji kama ilivyokuwa ada na desturi ya Waarabu wakati huo.


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6668035
TodayToday723
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 16

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68669867761436184925161751554151
title_686698677622d16483867111751554151
title_686698677630d11008458791751554151

NISHATI ZA OFISI

title_68669867778e020131186481751554151
title_68669867779c8539681181751554151
title_6866986777aa45221158701751554151 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com