Menu

JE KUNA KAFARA YA MTU ALIYESHIKA QUR'ANI BILA YA TWAHARA?


SWALI:  Je kuna Kafara ya mtu aliyeshika Qur'ani bila ya twahara:

JAWABU: Bila shaka kushika Mswahafu bila ya kuwa na twahara ni katika mambo yalio haramishwa kwa Mwenye hadathi ndogo au kubwa na hii ni kwa mujibu ya kauli ya Jamhuri ya wanachuoni. Kwa hivyo mtu anapo shika Qur'ani bila ya kuwa na twahara huwa amefanya dhambi na ni juu yake kutubia na kuleta Istighar na kuazimia kutofanya tena kosa hili mara nyingine, na mtu Akitubia hufutiwa ile dhambi kwa Idhini ya Mwenyezi mungu, kwa sababu toba ya kikweli huwa ni kafara ya ile dhambi kwa neno lake Mtume Rahma na amani zimfikie Yeye:

 

التائب من الذنب كمن لا ذنب له]     أخرجه ابن ماجه] 

 

[Alitubia na Dhambi ni kama asie kuwa na dhambi]    [Imepokewa na Ibnu Maajah.]

Na jee mtu halazimika na kitu chochote? La hakuna jambo lingine lolote, wala kafara aina yoyote ile.

Na Allah ndie mjuzi zaidi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

7668196
TodayToday7959
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 280

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17e824f1943265093611777434242
title_69f17e824f1fa13641785321777434242
title_69f17e824f2583939528441777434242

NISHATI ZA OFISI

title_69f17e824fba73906485821777434242
title_69f17e824fbfa8313356091777434242
title_69f17e824fc5619530465811777434242 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com