Menu

JE KUNA KAFARA YA MTU ALIYESHIKA QUR'ANI BILA YA TWAHARA?


SWALI:  Je kuna Kafara ya mtu aliyeshika Qur'ani bila ya twahara:

JAWABU: Bila shaka kushika Mswahafu bila ya kuwa na twahara ni katika mambo yalio haramishwa kwa Mwenye hadathi ndogo au kubwa na hii ni kwa mujibu ya kauli ya Jamhuri ya wanachuoni. Kwa hivyo mtu anapo shika Qur'ani bila ya kuwa na twahara huwa amefanya dhambi na ni juu yake kutubia na kuleta Istighar na kuazimia kutofanya tena kosa hili mara nyingine, na mtu Akitubia hufutiwa ile dhambi kwa Idhini ya Mwenyezi mungu, kwa sababu toba ya kikweli huwa ni kafara ya ile dhambi kwa neno lake Mtume Rahma na amani zimfikie Yeye:

 

التائب من الذنب كمن لا ذنب له]     أخرجه ابن ماجه] 

 

[Alitubia na Dhambi ni kama asie kuwa na dhambi]    [Imepokewa na Ibnu Maajah.]

Na jee mtu halazimika na kitu chochote? La hakuna jambo lingine lolote, wala kafara aina yoyote ile.

Na Allah ndie mjuzi zaidi.


LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

WhatsApp This Page Now
 

Visitors Counter

6785493
TodayToday494
Highest 07-17-2025 : 4917
US
Guests 27

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68a98c24b0cf42966647381755941924
title_68a98c24b0de01300998931755941924
title_68a98c24b0ec4228282541755941924

NISHATI ZA OFISI

title_68a98c24b24f94856172211755941924
title_68a98c24b25ec20744091491755941924
title_68a98c24b26b89955552381755941924 Add content here

HUDUMA MPYA

: 12 + 14 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com