Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أُمِّ كُلْثُومٍ بنتِ عُقْبَةَ بن أَبي مُعَيْطٍ رضي اللَّه عنها قالت : سمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يَقُولُ : « لَيْسَ الْكَذَّابُ الذي يُصْلحُ بَيْنَ النَّاسِ فَيَنْمي خَيْراً ، أَوْ يَقُولُ خَيْراً »      متفق عليه

وفي رواية مسلمٍ زيادة ، قالت : وَلَمْ أَسْمَعْهُ يُرَخِّصُ في شَيْءٍ مِمَّا يَقُولُهُ النَّاسُ إِلاَّ في ثَلاثٍ، تَعْنِي : الحَرْبَ ، وَالإِصْلاَحَ بَيْنَ النَّاسِ ، وَحَدِيثَ الرَّجُلِ امْرَأَتَهُ ، وَحَديثَ المَرْأَةِ زَوْجَهَ


Kutoka kwa Ummu Khalthum bin Uqbah (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu  Akisema:  [Hajasema uongo yule mwenye kusuluhisha baina ya watu ukawa unasambaza (habari ya) Kheri, au anasema Kheri]  [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

Na katika riwaya ya Muslim muna ziada inayosema Akasema: [Wala sikumsikia akiruhusu chochote katika uongo wanaosema watu isipokuwa katika mambo matatu] Yaani katika Vita kusuluhisha baina ya watu, mwanamume kuzungumza na Mkewe na mke kuzungumza na Mumewe


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668214
TodayToday7977
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 338

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f031decc10445423281777434371
title_69f17f031df238804164721777434371
title_69f17f031df847266287681777434371

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f031e91f12031293871777434371
title_69f17f031e98118628761311777434371
title_69f17f031e9e05537988901777434371 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 4 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com