Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أُمِّ كُلْثُومٍ بنتِ عُقْبَةَ بن أَبي مُعَيْطٍ رضي اللَّه عنها قالت : سمِعْتُ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يَقُولُ : « لَيْسَ الْكَذَّابُ الذي يُصْلحُ بَيْنَ النَّاسِ فَيَنْمي خَيْراً ، أَوْ يَقُولُ خَيْراً »      متفق عليه

وفي رواية مسلمٍ زيادة ، قالت : وَلَمْ أَسْمَعْهُ يُرَخِّصُ في شَيْءٍ مِمَّا يَقُولُهُ النَّاسُ إِلاَّ في ثَلاثٍ، تَعْنِي : الحَرْبَ ، وَالإِصْلاَحَ بَيْنَ النَّاسِ ، وَحَدِيثَ الرَّجُلِ امْرَأَتَهُ ، وَحَديثَ المَرْأَةِ زَوْجَهَ


Kutoka kwa Ummu Khalthum bin Uqbah (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: Nilimsikia Mtume wa Mwenyezi Mungu  Akisema:  [Hajasema uongo yule mwenye kusuluhisha baina ya watu ukawa unasambaza (habari ya) Kheri, au anasema Kheri]  [Imepokewa na Bukhari na Muslim]

Na katika riwaya ya Muslim muna ziada inayosema Akasema: [Wala sikumsikia akiruhusu chochote katika uongo wanaosema watu isipokuwa katika mambo matatu] Yaani katika Vita kusuluhisha baina ya watu, mwanamume kuzungumza na Mkewe na mke kuzungumza na Mumewe


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله تعالى



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572848
TodayToday915
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286729bb65e14701711191747478313
title_68286729bb82a7431667881747478313
title_68286729bb98310186285071747478313

NISHATI ZA OFISI

title_6828672eec34e17561711831747478318
title_6828672eec4e13856137841747478318
title_6828672eec63816670373131747478318 Add content here

HUDUMA MPYA

: 9 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com