Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أبي هريرة رضي الله عنه قال : أُتِيَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم بِرجلٍ قَدْ شرِب خَمْراً قال : « اضْربُوهُ» قال أَبُو هُرَيْرةَ : فمِنَّا الضَّارِبُ بِيدهِ والضَارِبُ بِنَعْله ، والضَّارِبُ بِثوبِهِ . فَلَمَّا انْصَرَفَ قَال بعْضُ الْقَومِ : أَخْزاكَ اللَّه ، قال : « لا تقُولُوا هَكَذا لا تُعِينُوا عليه الشَّيْطان »    رواه البخاري


Kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhi za Allah ziwe juu yao) Amesema Aliletwa kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu  Mtu ambae alikua amekunywa Pombe Mtume   akasema: [Mpigeni] anasema Abu Hureira: Basi ikawa miongoni mwetu wapo wanaopiga kwa Mikono yao, na wanaopiga kwa Viatu vyao , na wanaopiga kwa Nguo zao. Alipoondoka yule mtu wakasema baadhi ya watu: Mwenyezi Mungu akudhalilishe, Mtume  akawambia [Musiseme hivyo, musimsaidie Sheitani juu yake]    [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6573137
TodayToday1204
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 15

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_682878f24e45020361071341747482866
title_682878f24e56f20186416661747482866
title_682878f24e6894216671171747482866

NISHATI ZA OFISI

title_682878f24f54c15473027681747482866
title_682878f24f62e21287882331747482866
title_682878f24f70d16713706241747482866 Add content here

HUDUMA MPYA

: 11 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com