Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبي هريرة رضي اللَّه عنه قال : قال رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : «لا تَحاسدُوا ولا تناجشُوا ولا تَباغَضُوا ولا تَدابرُوا ولا يبِعْ بعْضُكُمْ عَلَى بيْعِ بعْضٍ ، وكُونُوا عِبادَ اللَّه إِخْواناً. المُسْلِمُ أَخُو الْمُسْلِم لا يَظلِمُه ولا يَحْقِرُهُ ولا يَخْذُلُهُ . التَّقْوَى هَاهُنا ويُشِيرُ إِلَى صَدْرِهِ ثَلاَثَ مرَّاتٍ  بِحسْبِ امْرِيءٍ مِنَ الشَّرِّ أَنْ يَحْقِر أَخاهُ المسلم . كُلَّ الْمُسْلِمِ عَلَى الْمُسْلِمِ حرامٌ دمُهُ ومالُهُ وعِرْضُهُ »     رواه مسلم


Kutoka kwa Abuu Hurayrah (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu  : [Msihusudiane, wala msipandishiane bei (katika biashara), wala msibughudhiane, wala msipeane mgongo (msikatane), wala baadhi yenu wasiuze juu ya wageni; na nyote kuweni ni waja wa Mwenyezi Mungu, ndugu moja. Muislamu ni ndugu ya Muislamu; hamdhulumu wala hamdharau, wala haachi kumnusuru. Uchaji Mungu uko hapa – akaashiria mara tatu kifuani mwake – yatosha mtu kutenda shari atakapomdharau nduguye Muislamu. Kila Muislamu juu ya Muislamu mwenziwe ni haramu: damu yake, mali yake na heshima yake.]   [Imepokewa na Muslim]  


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887170
TodayToday303
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 64

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba7f0500e614733618321782294512
title_6a3ba7f0501365690001141782294512
title_6a3ba7f0501827350981771782294512

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba7f05076c3409977501782294512
title_6a3ba7f0507ba3170695261782294512
title_6a3ba7f05080b11707420271782294512 Add content here

HUDUMA MPYA

: 4 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com