Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589

وعن جُنْدِبِ بن عبد اللَّه رضي اللَّه عنه قال: قال رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم:«منْ صَلَّى صَلاةَ الصُّبحِ فَهُوَ فِي ذِمةِ اللَّه فَلا يطْلُبنَّكُمْ اللَّهُ مِنْ ذِمَّتِهِ بِشَيْءٍ ، فَإِنَّهُ منْ يَطْلُبْهُ مِنْ ذِمَّتِهِ بِشَيْءٍ يُدرِكْه ، ثُمَّ يكُبُّهُ عَلَى وجْهِهِ في نَارِ جَهَنَّم »   رواه مسلم


Kutoka kwa Jundub bin ‘Abdillaah (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ : [Atakaeswalia Swala ya Asubuhi basi yeye yupo katika ulinzi wa Mwenyezi Mungu, basi Mwenyezi Mungu asimpate mtu akimvunjia mtu ulinzi wake kwa jambo lolote, kwani atakaemkuta akivunja ulinzi wake Mwenyezi Mungu atamkamata na atamtupa kwa uso wake katika Moto wa jahannam]    [Imepokewa na Muslim]  


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031804
TodayToday887
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 90

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d8c48166be5289378171787661384
title_6a8d8c481670f10099978121787661384
title_6a8d8c481675b3924530321787661384

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d8c4816efa14888379871787661384
title_6a8d8c4816f2d14794466991787661384
title_6a8d8c4816f7a8877439371787661384 Add content here

HUDUMA MPYA

: 14 + 7 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com