Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589

وعن أَبي قَتادَةَ الْحارِثِ بنِ ربْعي رضي اللَّه عنه قال : قال رسول اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم : «إِنِّي لأَقُومُ إِلَى الصَّلاةِ ، وَأُرِيدُ أَنْ أُطَوِّل فِيها ، فَأَسْمعُ بُكَاءَ الصَّبِيِّ ، فَأَتَجوَّزَ فِي صلاتِي كَرَاهِيَةَ أَنْ أَشُقَّ عَلَى أُمِّهِ »     رواه البخاري


Kutoka kwa Abuu Qataadah Al-Haarith Ar-Ri’biy (Radhi za Allah ziwe juu yake) amesema: Amesema Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ : [Kwa hakika mimi husimama katika Swala na nikataka kuirefusha, husikia kilio cha Mtoto, hapo naifupisha Swala yangu kwa kuchelea nisije nikampa uzito Mama yake.]    [Imepokewa na Bukhari]  


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887016
TodayToday149
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 84

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b806c5df4818427675361782284396
title_6a3b806c5df9710540599361782284396
title_6a3b806c5dfe3629135671782284396

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b806c5e56112165327261782284396
title_6a3b806c5e5ad11710145021782284396
title_6a3b806c5e5f7539911261782284396 Add content here

HUDUMA MPYA

: 15 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com