Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن عَدِي بن عُمَيْرَةَ رضي اللَّه عنه قال : سَمِعْتُ رسولَ اللَّه يَقُول : « مَن اسْتَعْمَلْنَاهُ مِنْكُمْ عَلَى عَمَل ، فَكَتَمَنَا مِخْيَطاً فَمَا فَوْقَهُ ، كَانَ غُلُولا يَأْتِي بِهِ يوْم الْقِيامَةِ » فقَام إَلْيهِ رجُلٌ أَسْودُ مِنَ الأَنْصَارِ ، كأَنِّي أَنْظرُ إِلَيْهِ ، فقال : يا رسول اللَّه اقْبل عني عملَكَ قال: « ومالكَ ؟ » قال : سَمِعْتُك تقُول كَذَا وَكَذَا ، قال : « وَأَنَا أَقُولُهُ الآن : من اسْتعْملْنَاهُ عَلَى عملٍ فلْيجِيء بقَلِيلهِ وَكِثيرِه ، فمَا أُوتِي مِنْهُ أَخَذَ ومَا نُهِِى عَنْهُ انْتَهَى »   رواه مسلم


Kutoka kwa ‘Adiy bin ‘Umayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Nimemsikia Mtume ﷺ akisema: [Tutakayempa mmoja wenu jukumu akatuficha iwe ni sindano na zaidi yake, itakuwa ni khiyana atakayokuja nayo Siku ya Qiyama.] Mtu mmoja mweusi katika Answaar akasimama kana kwamba ninamtazama. Akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Nikubalie nijiuzulu kazi yako. Akamuuliza: [Kwa nini?] Akajibu: Nimekusikia ukisema kadhaa na kadhaa. Akasema: [Nami nasema tena sasa Yoyote atakayempa jukumu la kazi fulani basi alete kichache na kingi (alete chochote atakacho pata). Atakachopewa atachukua, na atakachozuiliwa akiache.]     [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7668230
TodayToday7993
Highest 04-18-2026 : 16767
US
Guests 333

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_69f17f4e063298330811581777434446
title_69f17f4e0637a8518977651777434446
title_69f17f4e063c68945256501777434446

NISHATI ZA OFISI

title_69f17f4e06999439313171777434446
title_69f17f4e069e717538371051777434446
title_69f17f4e06a3313211818421777434446 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com