Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن عَدِي بن عُمَيْرَةَ رضي اللَّه عنه قال : سَمِعْتُ رسولَ اللَّه يَقُول : « مَن اسْتَعْمَلْنَاهُ مِنْكُمْ عَلَى عَمَل ، فَكَتَمَنَا مِخْيَطاً فَمَا فَوْقَهُ ، كَانَ غُلُولا يَأْتِي بِهِ يوْم الْقِيامَةِ » فقَام إَلْيهِ رجُلٌ أَسْودُ مِنَ الأَنْصَارِ ، كأَنِّي أَنْظرُ إِلَيْهِ ، فقال : يا رسول اللَّه اقْبل عني عملَكَ قال: « ومالكَ ؟ » قال : سَمِعْتُك تقُول كَذَا وَكَذَا ، قال : « وَأَنَا أَقُولُهُ الآن : من اسْتعْملْنَاهُ عَلَى عملٍ فلْيجِيء بقَلِيلهِ وَكِثيرِه ، فمَا أُوتِي مِنْهُ أَخَذَ ومَا نُهِِى عَنْهُ انْتَهَى »   رواه مسلم


Kutoka kwa ‘Adiy bin ‘Umayrah Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Nimemsikia Mtume ﷺ akisema: [Tutakayempa mmoja wenu jukumu akatuficha iwe ni sindano na zaidi yake, itakuwa ni khiyana atakayokuja nayo Siku ya Qiyama.] Mtu mmoja mweusi katika Answaar akasimama kana kwamba ninamtazama. Akasema: Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! Nikubalie nijiuzulu kazi yako. Akamuuliza: [Kwa nini?] Akajibu: Nimekusikia ukisema kadhaa na kadhaa. Akasema: [Nami nasema tena sasa Yoyote atakayempa jukumu la kazi fulani basi alete kichache na kingi (alete chochote atakacho pata). Atakachopewa atachukua, na atakachozuiliwa akiache.]     [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6668224
TodayToday912
Highest 06-05-2025 : 6758
US
Guests 30

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6866c764d455310267011401751566180
title_6866c764d46446349341191751566180
title_6866c764d472d8948717831751566180

NISHATI ZA OFISI

title_6866c764d5d217569551671751566180
title_6866c764d5e0612027847291751566180
title_6866c764d5ee49933630701751566180 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 9 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com