Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَبِي حُميْد عبْدِ الرَّحْمن بنِ سعدٍ السَّاعِدِيِّ رضي اللَّه عنه قال : اسْتعْملَ النَّبِيُّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم رَجُلاً مِن الأَزْدِ يُقَالُ لَهُ : ابْـنُ اللُّتْبِيَّةِ عَلَى الصَّدقَةِ ، فَلَمَّا قَدِمَ قـال : هَذَا لَكُمْ، وَهَذَا أُهدِيَ إِلَيَّ فَقَامَ رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم على الْمِنبرِ ، فَحمِدَ اللَّه وأَثْنَى عَلَيْهِ ، ثُمَّ قال : « أَمَّا بعْدُ فَإِنِّي أَسْتعْمِلُ الرَّجُلَ مِنْكُمْ على الْعمَلِ مِمَّا ولاَّنِي اللَّه ، فَيَأْتِي فَيَقُولُ : هَذَا لَكُمْ، وَهَذَا هَدِيَّةٌ أُهْدِيَت إِلَيَّ ، أَفَلا جلس في بيتِ أَبيهِ أَوْ أُمِّهِ حتَّى تأْتِيَهُ إِنْ كَانَ صادقاً، واللَّه لا يأْخُذُ أَحدٌ مِنْكُمْ شَيْئاً بِغَيْرِ حقِّهِ إلاَّ لَقِيَ اللَّه تَعالَى ، يَحْمِلُهُ يَوْمَ الْقِيامَةِ، فَلا أَعْرفَنَّ أَحداً مِنْكُمْ لَقِيَ اللَّه يَحْمِلُ بعِيراً لَهُ رغَاءٌ ، أَوْ بَقرة لَهَا خُوارٌ ، أَوْ شاةً تيْعَرُ ثُمَّ رفَعَ يَديْهِ حتَّى رُؤِيَ بَياضُ إبْطيْهِ فقال : « اللَّهُمَّ هَلْ بَلَّغْتُ »  ثلاثاً ،  متفقٌ عليه


Kutoka Abuu Humayd, ‘Abdur-Rahmaan bin Sa’d As- Saa’iydy Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ alimpa jukumu mtu kutoka katika kabila la Al-Azdiy aliyekuwa akiitwa Inb Al-Lutbiyyahla kukusanya zaka Aliporudi alisema: Hiki ni chenu na hiki nimepewa zawadi. Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ akasimama juu ya Mimbar, akamuhidi Mwenyezi Mungu na akamsifu, kisha akasema: [Ama baada ya haya; hakika mimi humpa jukumu mtu miongoni mwenu juu ya kazi niliyopewa mamlaka na Mwenyezi Mungu. (Mtu) atakuja asema: Hiki ni chenu na hiki ni zawadi nimepewa. Basi si angaliketi nyumba ya baba yake, au mama yake ili zawadi hiyo imfikie huko iwapo ni mkweli. Naapa kwa jina la Mwenyezi Mungu hakuna yoyote miongoni mwenu atakaechukua kitu chochote bila ya haki yake ila atakutana na Mwenyezi Mungu (Subhaanahu wa Ta’aalaa) akiwa amekibeba siku ya Qiyama. Hivyo basi , nisije nikamjua yoyote kati yenu amekutana na Mwenyezi Mungu akiwa amebeba ngamia anayeguna, au ng’ombe anayeroroma au mbuzi (kondoo) anayelia.] Kisha (Mtume ﷺ) akainua mikono yake mpaka ukaonekane weupe wa makwapa yake, akasema: [Ewe Mola! Je, nimefikisha.] Mara tatu   [Imepokewa na Bukhari, Muslim na Ahmad]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

8031687
TodayToday770
Highest 07-31-2026 : 9991
US
Guests 119

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a8d79fe7a6cf7570118561787656702
title_6a8d79fe7a71f17248136301787656702
title_6a8d79fe7a76b21179556001787656702

NISHATI ZA OFISI

title_6a8d79fe906fa17072159841787656702
title_6a8d79fe9074917966064421787656702
title_6a8d79fe9079611641667471787656702 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 11 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

Go to top
UongofuUongofu.com