Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن مُعاذٍ رضي اللَّه عنه قال : بعَثَنِي رسولُ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم فقال : «إنَّكَ تَأْتِي قوْماً مِنْ أَهْلِ الْكِتَاب ، فادْعُهُمْ إِلَى شََهَادة أَنْ لا إِلَهَ إلاَّ اللَّه ، وأَنِّي رسول اللَّه فإِنْ هُمْ أَطاعُوا لِذَلِكَ ، فَأَعْلِمهُمْ أَنَّ اللَّه قَدِ افْترضَ علَيْهم خَمْسَ صَلَواتٍ في كُلِّ يومٍ وَلَيْلَةٍ ، فَإِنْ هُمْ أَطَاعُوا لِذلكَ ، فَأَعلِمْهُمْ أَنَّ اللَّه قَدِ افْتَرَضَ عَلَيهمْ صدَقَةً تُؤْخذُ مِنْ أَغنيائِهِمْ فَتُرَدُّ عَلَى فُقَرائهم ، فَإِنْ هُمْ أَطَاعُوا لِذلكَ ، فَإِيَّاكَ وكَرائِمَ أَمْوالِهم . واتَّقِ دعْوةَ الْمَظْلُومِ فَإِنَّهُ لَيْس بينها وبيْنَ اللَّه حِجَابٌ »     متفقٌ عليه


Kutoka kwa Mu’adh Radhi za Allah ziwe juu yake amesema: alinituma Mtume wa Mwenyezi Mungu ﷺ (Yemen) akaniambia: [Hakika unawaendea watu wa Ahlul Kitaab (utakapowendea) walinganie katika kushuhudia na kukubali kuwa hapana Mola Apasaye kuabudiwa kwa haki ila Mungu mmoja na kuwa mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Wanapokutii kwa hilo, wafahamishe kuwa Mwenyezi Mungu Amewafaradhishia Swala tano kwa kila mchana na usiku. Wanapokutii kwa hilo, wafahamishe kuwa Mwenyezi Mungu Amewafaradhishia Zaka inayochukuliwa kutoka kwa matajiri wao na kurudishwa kwa mafakiri miongoni mwao. Wanapokutii kwa hilo, basi tahadhari sana (kuchukuwa) mali yao ya thamani. Na ogopa sana Dua ya mwenye kudhulimiwa kwani haina pazia baina ya Dua hiyo na Mwenyezi Mungu.]      [Imepokewa na Bukhari na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887176
TodayToday309
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 65

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba8c47b74c10510718191782294724
title_6a3ba8c47b79c17224751671782294724
title_6a3ba8c47b7e82864395141782294724

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba8c47bd7e2083208671782294724
title_6a3ba8c47bdcc517483111782294724
title_6a3ba8c47be184653146521782294724 Add content here

HUDUMA MPYA

: 10 + 15 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com