Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


عنْ أَبِي عبدِ اللَّه طارِقِ بنِ شِهابٍ الْبُجَلِيِّ الأَحْمَسِيِّ رضي اللَّه عنه أَنَّ رجلاً سأَلَ النَّبِيَّ صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم ، وقَدْ وَضعَ رِجْلَهُ في الغَرْزِ : أَيُّ الْجِهادِ أَفْضَلُ؟ قَالَ : «كَلِمَةُ حقٍّ عِنْدَ سُلْطَانٍ جائِر »      رَوَاهُ النسائيُّ بإسنادٍ صحيحٍ


Kutoka kwa Abu ‘Abdillaah Twaariq bin Shihaab Al-Bajaliy Al-Ahmasiy Radhi za Allah ziwe juu yake ya kwamba, mtu mmoja alimuuliza Mtumeambaye alikuwa tayari ameweka mguu kwenye kipandio (sehemu ya kuweka mguu wakati ukitaka kupanda Ngamia) akasema: Ni Jihadi gani iliyobora kabisa? (Mtume)  Akasema: [Kusema neno la uadilifu mbele ya Mtawala jeuri.]      [Imepokewa na An-Nasaai]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887019
TodayToday152
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 46

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3b810c43bba7788465461782284556
title_6a3b810c43c2b17714174351782284556
title_6a3b810c43c9a10457536881782284556

NISHATI ZA OFISI

title_6a3b810c4475f1484950571782284556
title_6a3b810c447af8615170521782284556
title_6a3b810c447fb20487479011782284556 Add content here

HUDUMA MPYA

: 3 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com