Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَنسٍ رضي اللَّه عنه أَنْ فَتًى مِنْ أَسْلَمَ قال : يا رسُولَ اللَّه إِنِّي أُرِيد الْغَزْوَ ولَيْس مَعِي مَا أَتجهَّزُ بِهِ ؟ قَالَ : « ائْتِ فُلاناً فإِنه قَدْ كانَ تَجَهَّزَ فَمَرِضَ »  فَأَتَاهُ فقال : إِنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يُقْرئُكَ السَّلامَ وَيَقُولُ : أَعْطِني الذي تجَهَّزْتَ بِهِ ، فقال : يا فُلانَةُ أَعْطِيهِ الذي تجَهَّزْتُ بِهِ ، ولا تحْبِسِي مِنْهُ شَيْئاً ، فَواللَّه لا تَحْبِسِينَ مِنْهُ شَيْئاً فَيُبَارَكَ لَكِ فِيهِ . رواه مسلم


Kutoka kwa Anas bin Maalik Radhi za Allah ziwe juu yake  ya kwamba kijana katika kabila la Aslam alikuja na kusema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu ! Mimi ninataka kushiriki katika vita, lakini sina chochote cha kujitayarisha kwayo?”  Mtume ﷺ akamwambia : [Nenda kwa Fulani kwani yeye alikuwa amejitayarisha akawa mgonjwa.]  Huyu kijana akaenda kwa huyo mtu na kumwambia: “Kwa hakika Mtume  anakutolea salamu na anakwambia: Nipatie mimi vifaa ulivyovitayarisha ili kuvitumia katika vita.” Akasema yule Fulani: “Ewe mke wangu mpatie kila kitu nilichotayarisha wala usibakishe chochote. Naapa kwa jina la Allaah, hutabakisha kitu chochote kisha Mwenyezi Mungu akubarikie kwa kitu hicho .”    [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572834
TodayToday901
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 30

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286729bb65e14701711191747478313
title_68286729bb82a7431667881747478313
title_68286729bb98310186285071747478313

NISHATI ZA OFISI

title_6828672eec34e17561711831747478318
title_6828672eec4e13856137841747478318
title_6828672eec63816670373131747478318 Add content here

HUDUMA MPYA

: 1 + 2 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com