Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


1463655589


وعن أَنسٍ رضي اللَّه عنه أَنْ فَتًى مِنْ أَسْلَمَ قال : يا رسُولَ اللَّه إِنِّي أُرِيد الْغَزْوَ ولَيْس مَعِي مَا أَتجهَّزُ بِهِ ؟ قَالَ : « ائْتِ فُلاناً فإِنه قَدْ كانَ تَجَهَّزَ فَمَرِضَ »  فَأَتَاهُ فقال : إِنَّ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم يُقْرئُكَ السَّلامَ وَيَقُولُ : أَعْطِني الذي تجَهَّزْتَ بِهِ ، فقال : يا فُلانَةُ أَعْطِيهِ الذي تجَهَّزْتُ بِهِ ، ولا تحْبِسِي مِنْهُ شَيْئاً ، فَواللَّه لا تَحْبِسِينَ مِنْهُ شَيْئاً فَيُبَارَكَ لَكِ فِيهِ . رواه مسلم


Kutoka kwa Anas bin Maalik Radhi za Allah ziwe juu yake  ya kwamba kijana katika kabila la Aslam alikuja na kusema: “Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu ! Mimi ninataka kushiriki katika vita, lakini sina chochote cha kujitayarisha kwayo?”  Mtume ﷺ akamwambia : [Nenda kwa Fulani kwani yeye alikuwa amejitayarisha akawa mgonjwa.]  Huyu kijana akaenda kwa huyo mtu na kumwambia: “Kwa hakika Mtume  anakutolea salamu na anakwambia: Nipatie mimi vifaa ulivyovitayarisha ili kuvitumia katika vita.” Akasema yule Fulani: “Ewe mke wangu mpatie kila kitu nilichotayarisha wala usibakishe chochote. Naapa kwa jina la Allaah, hutabakisha kitu chochote kisha Mwenyezi Mungu akubarikie kwa kitu hicho .”    [Imepokewa na Muslim]


شرح الحديث مع فضيلة الشيخ خالد بن عثمان السبت حفظه الله



 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

7887176
TodayToday309
Highest 05-20-2026 : 12580
US
Guests 65

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_6a3ba89d76a4914507086911782294685
title_6a3ba89d76aa220301771251782294685
title_6a3ba89d76af317164406571782294685

NISHATI ZA OFISI

title_6a3ba89d777237590947911782294685
title_6a3ba89d777854171690131782294685
title_6a3ba89d777e211290105321782294685 Add content here

HUDUMA MPYA

: 5 + 3 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com