Menu

BUSTANI YA WATU WEMA


رياض الصالحين 


عن جابرٍ رضي اللَّه عنه أَنْ رسولَ اللَّه صَلّى اللهُ عَلَيْهِ وسَلَّم أَمَر بِلَعْقِ الأَصابِعِ وَالصحْفةِ وقال: « إِنَّكُــم لا تَدْرُونَ في أَيِّهَا الْبَرَكَةَ »     رواه مسلم

وفي رواية لَهُ : « إِذَا وَقَعتْ لُقْمةُ أَحدِكُمْ  فَلْيَأْخُذْهَا فَلْيُمِطْ مَا كَانَ بِهَا مِنْ أَذًى ، وَلْيَأْكُلْهَا ، وَلا يَدَعْهَا لَلشَّيْطانِ ، وَلا يَمْسَحْ يَدَهُ بِالْمَندِيلِ حَتَّى يَلْعَقَ أَصَابِعهُ ، فَإِنَّهُ لا يدْرِي في أَيِّ طَعَامِهِ الْبَركَةَ
وفي رواية له : « إِنَّ الشَّيْطَانَ يَحْضُرُ أَحَدكُمْ عِنْدَ كُلِّ شَيءٍ مِنْ شَأْنِهِ حَتَّى يَحْضُرَهُ عِنْدَ طَعَامِهِ ، فَإِذَا سَقَطَتْ مِنْ أَحَدِكُمْ اللُّقْمَةُ فَلْيُمِطْ مَا كَان بِهَا منْ أَذًى، فَلْيأْكُلْها ، وَلا يَدَعْهَا لِلشَّيْطَانِ


Kutoka kwa Jaabir Radhi za Allah ziwe juu yake kwamba Mtume    ameamrisha kulamba vidole na sahani, akasema: [Ninyi hamjui ni wapi penye baraka. ]   [Imepokewana Muslim]

Na katika Riwaya nyingine ya Muslim imesema:

[Linapoanguka tonge la chakula la mmoja wenu, aliokote na aondoe taka iliyoingia na alile, wala asimuachie shetani, wala asiupanguse mkono wake kwa kitambaa mpaka avilambe kidole vyake; kwani hajui ni katika chakula kipi kuna baraka.]

Na Riwaya nyingine tena ya Muslim imesema:

[Hakika shetani anahudhuria katika kila jambo la mmoja wenu hata anahudhuria kwenye chakula chake. Basi linapoanguka tonge la chakula la mmoja wenu, aondoe sehemu iliyoingia taka na alile,wala asimuachie shetani.] 


 

LOGOISLAM

Search Videos

RSS Content

<

 

 

Visitors Counter

6572816
TodayToday883
Highest 01-07-2025 : 4073
US
Guests 26

Mkurugenzi na naibu wake

SS10

 

VIKAO VYA OFISI

title_68286382749378692651121747477378
title_6828638274a4220362196191747477378
title_6828638274b426343787961747477378

NISHATI ZA OFISI

title_6828638274dff6971915361747477378
title_6828638274f014896166871747477378
title_6828638274ffe17821415011747477378 Add content here

HUDUMA MPYA

: 13 + 6 =

IslamChoice- Kiswahili

Ni mtandao mpya wa ulinganizi unao funza mafunzo ya dini ya kiislamu kuambatana na Qur'ani na Sunna za Bwana Mtumeﷺ zilizo sahihi‎ kwa ufahamu wa wema walio tutangulia.

UongofuUongofu.com